Alitukana tusi gani?
Kwahiyo Ruge ni baba yake Mwakyembe?Chukulia wewe baba yako kafa, harafu Kuna fala anatokea na kuanza kuitukana maiti ya baba yako, we ungemchukulia hatua gani, nahisi ungeenda kumfanya chochote ili ulidhike, sasa serikali kuona hivyo ndo ikaona umuhifadhi ili asidhurike
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukulia wewe baba yako kafa, harafu Kuna fala anatokea na kuanza kuitukana maiti ya baba yako, we ungemchukulia hatua gani, nahisi ungeenda kumfanya chochote ili ulidhike, sasa serikali kuona hivyo ndo ikaona umuhifadhi ili asidhurike
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini wameshamhukumu kwa kumfutia leseni?Dudu Baya hana kosa mpaka itakapobainika kuwa yale aliyolalamika si ya kweli
kama ni ya kweli mwenye kosa ni MAREHEMU.
Wanasema eti kaidhihaki maiti ya kada wa fisiemu.Dudubaya anamwaga oil chafu
Unaweza kututajia matusi aliyotukana dudu baya na alimtukana nani??Primary court magistrate Act inamkataza mtu yeyote kutoa matusi hadharani hivyo apelekwe mahakani akajibu shtaka la kutoa matusi.
Wamuhoji nani sasaSidhani kama utaratibu walioutumia basata una uhalali kisheria maana ukitaka kumhukumu mtu sharti namba moja ni lazima umuite na umhoji akupe sababu zake za utetezi ndo unaamua inaitwa principle of natural justice iliasisiwa na Mungu alipomuita Adam bustani ya Eden...
Mahakama imesha toa hukumu?Primary court magistrate Act inamkataza mtu yeyote kutoa matusi hadharani hivyo apelekwe mahakani aka tjibu shtaka la kutoa matusi.