Baraza la Sanaa lasimamisha shughuli zote za sanaa na burudani kupisha Maulid Zanzibar

Baraza la Sanaa lasimamisha shughuli zote za sanaa na burudani kupisha Maulid Zanzibar

Muuza madafu wa Ikulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2024
Posts
1,277
Reaction score
2,888
Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar (BASSFU) limesimamisha shughuli zote za sanaa na burudani Visiwani Zanzibar kupisha usiku wa mkesha wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) Maulid ya Mtume, leo Jumapili September 15,2024 kuamkia kesho September 16,2024 (Maulid Day).

Akiongea na #AyoTV, Katibu wa BASSFU, Juma Chum amesema katazo hilo limekuja kwenye maeneo yote ya burudani Kwenye kumbi za starehe, kumbi za sherehe za maharusi, mabaa na sehemu nyingine za burudani.

“Baraza linasimamisha shughuli zote za sanaa na burudani kupisha usiku wa mkesha wa uzawa wa Mtume Muhammad (S.A.W)“
1000146265.jpg


Umati Muhammad katika moja na mbili.
#MillardAyoUPDATES
 
Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar (BASSFU) limesimamisha shughuli zote za sanaa na burudani Visiwani Zanzibar kupisha usiku wa mkesha wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) Maulid ya Mtume, leo Jumapili September 15,2024 kuamkia kesho September 16,2024 (Maulid Day).

Akiongea na #AyoTV, Katibu wa BASSFU, Juma Chum amesema katazo hilo limekuja kwenye maeneo yote ya burudani Kwenye kumbi za starehe, kumbi za sherehe za maharusi, mabaa na sehemu nyingine za burudani.

“Baraza linasimamisha shughuli zote za sanaa na burudani kupisha usiku wa mkesha wa uzawa wa Mtume Muhammad (S.A.W)“
View attachment 3096601

Umati Muhammad katika moja na mbili.
#MillardAyoUPDATES
alafu wanataka kuifananisha zanzibar na dar es salaam wanaforce kweli watu wajae huko..barabara zenyewe nyembamba kweli..
 
Snapinsta.app_459881166_888713603136301_8738508999839684555_n_1080.jpg
Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni (BASSFU) limepewa Mamlaka ya kusimamia shughuli zote za sanaa, Wasanii na sehemu zote zinazojishughulisha na Sensa na burudani chini ya Sheria Nam 7. ya Mwaka 2015.

Baraza linasimamisha shughuli zote za sanaa na burudani kupisha usiku wa mkesha wa uzawa wa Mtume Muhammad (S.A.W) siku ya Jumapili ya tarehe 15, Septemba 2024.

Kwa Taasisi au mtu yoyote atakayekwenda kinyume na taarifa hii hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
 
Back
Top Bottom