Baraza la Sanaa limfungie Bambo kazi zake. Anaharibu sana Kiswahili kwa makusudi

Baraza la Sanaa limfungie Bambo kazi zake. Anaharibu sana Kiswahili kwa makusudi

View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Ukimfungia huyo ukawafungie na wangoni wote ikiwezekana wapigwe marufuku wasija Dar
 
View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Mwanangu uko kwenye internship ya kazi ya uchawi?
 
View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Acha uhafidhina,lugha hukua,hishi na hufa unadhani kiswahili cha mwanzo ndio hichi kilichopo sasa.
 
Kumekuchi🙄
 

Attachments

  • bambo.jpg
    bambo.jpg
    43 KB · Views: 5
View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Kwa
 
Kama hoja ni hiyo tu,na wale wote wanaoongea kwa lafudhi za lugha zao za asili nao wafungiwe.Nina maanisha hadi wazungu,wahindi,wachina na wengineo ili mbaki mnaoongea kiswahili "kinyoofu"!
 
Kama hoja ni hiyo tu,na wale wote wanaoongea kwa lafudhi za lugha zao za asili nao wafungiwe.Nina maanisha hadi wazungu,wahindi,wachina na wengineo ili mbaki mnaoongea kiswahili "kinyoofu"!
Wimbo wa Hakunaga wa Sumalee ulifungiwa kisa kiswahili kibovu.
 
Back
Top Bottom