Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #81
Analenga kufikisha ujumbe gani?Hiyo anayofanya ndio sanaa yenyew sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analenga kufikisha ujumbe gani?Hiyo anayofanya ndio sanaa yenyew sasa
Nimuonee wivu kwa lipi?Dah yaani mkuu unamuonea wivu mtu kama bambo
Acha ushamba Kwani usano ni nini ?Wewe unavyoona anachokifanya ni sahihi?
Ukimfungia huyo ukawafungie na wangoni wote ikiwezekana wapigwe marufuku wasija DarView attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)
Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.
Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.
Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .
Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Mwanangu uko kwenye internship ya kazi ya uchawi?View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)
Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.
Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.
Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .
Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Kwelo
Acha uhafidhina,lugha hukua,hishi na hufa unadhani kiswahili cha mwanzo ndio hichi kilichopo sasa.View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)
Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.
Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.
Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .
Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Kazi ya msanii ni kuelimisha na sio kupotosha.Acha ushamba Kwani usano ni nini ?
Una akili timamu?Ukimfungia huyo ukawafungie na wangoni wote ikiwezekana wapigwe marufuku wasija Dar
AiseeMwanangu uko kwenye internship ya kazi ya uchawi?
KwaView attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)
Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.
Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.
Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .
Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
1. KuelimishaKazi ya msanii ni kuelimisha na sio kupotosha.
Vilevile lugha huzaliwa,hukua na hata ikibidi hufa.Kama kuna maneno hayatotiliwa maanani hujifia kifo cha asili.Hakuna kulazimisha.1. Kuelimisha
2. Kuonya
3. Kuburudisha✔
🖕Una akili timamu?
Wimbo wa Hakunaga wa Sumalee ulifungiwa kisa kiswahili kibovu.Kama hoja ni hiyo tu,na wale wote wanaoongea kwa lafudhi za lugha zao za asili nao wafungiwe.Nina maanisha hadi wazungu,wahindi,wachina na wengineo ili mbaki mnaoongea kiswahili "kinyoofu"!
Na hao wengine niliowataja wafungiwe,siyo?Wimbo wa Hakunaga wa Sumalee ulifungiwa kisa kiswahili kibovu.
Amekuuliza swali la msingi sana.Una akili timamu?