Baraza la Sanaa limfungie Bambo kazi zake. Anaharibu sana Kiswahili kwa makusudi

Bambo anawakilisha kiswahili cha makabila yanayopatikana Mkoa wa Ruvuma.

Sasa kama mtu akiongea kiswahili kama Muha labda braza K afungiwe akiongea kama msukuma afungiwe kama mchaga afungiwe (Akina Kiwewe)

Basi makabila yetu yanashida Sana.
Siyo Ruvuma ni Songea wangoni ndiyo wanaongea hivyo
 
Kakae songea ndanindani huko kama Luhagala, Likuyufusi,Nakauga, halafu uje urudi hapa
 
Chai
 
Shida ya Tanzania yetu tunaacha vitu vya msingi kuvipigania tunashughurika na mambo ya kawaida
Kelele za katiba,matibabu ,ufisadi ulipo sasa ni wa kutisha sana ila watu wapo kimya ,elimu nk
Watu wanakuja na mambo ya bambo
 
Eti ww shogo

Mbono uno roho mbayo ivoo

Hutako wenzako tupate riziko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…