Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Siyo Ruvuma ni Songea wangoni ndiyo wanaongea hivyoBambo anawakilisha kiswahili cha makabila yanayopatikana Mkoa wa Ruvuma.
Sasa kama mtu akiongea kiswahili kama Muha labda braza K afungiwe akiongea kama msukuma afungiwe kama mchaga afungiwe (Akina Kiwewe)
Basi makabila yetu yanashida Sana.
Kijana Mzee!Wewe mwenyewe unaharibu matumizi ya kiswahili, unajua kijana ni mtu wa umri gani? Bambo bado ni kijana?
Chai ipi sasa?. Jinsi mtanashati anavyotakiwa awe?.Chai
Kwani Kuja shido?Mkuu uwe unaangalia madhumuni nasio kuhukumu tu😂.....ange kuwa anaongea Ivo akiwa anafundisha apo sawa ila Kwa lengo la kuchekesha sioni kama kunashidaaa....
ChaiView attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)
Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.
Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.
Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .
Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Na akiigiza hivo ndo anapatia sana kibogaBora angesema Joti aache kuvaa nguo za kike maana anahamasisha ushoga....
Sasa hapo nini huwa kinawachekesha?Mia tano anakwambia "mia tino"
😃😃😃😃😃
Wewe sasa ndio umesemi ukweloMuda mwingine naelewa ni kwa nini tunaviongozi wenye akili za kijinga jinga, wanatoka kwenye jamii zetu hizi hizi zenye wajinga wajinga
Kwani songea ipo wapi bwana wewe!Siyo Ruvuma ni Songea wangoni ndiyo wanaongea hivyo
Kama huyu huwa mpuuzi kabisaMuda mwingine naelewa ni kwa nini tunaviongozi wenye akili za kijinga jinga, wanatoka kwenye jamii zetu hizi hizi zenye wajinga wajinga
Eti ww shogoView attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)
Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.
Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.
Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .
Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.