Baraza la Senate laamua Donald Trump hana hatia

Baraza la Senate laamua Donald Trump hana hatia

Walichokiogopa democrats sasa kinaelekea kutokea. Naona Democrats wanaogopa Trump akigombea tena 2024, maana pamoja na madudu tuliyoamishwa kuwa ameyafanya kwenye utawala wake bado kura zake ziliongezeka kutoka 62,984,828 mwaka 2016 hadi 74,216,154 mwaka 2020! Kura hizi zinamfanya awe second popular president of USA akitanguliwa na Biden aliyepata 81,268,924. Ongezeko hili ndilo linawaogopesha Democrats na hiyo kujaribu kufanya kila lililo ndani ya sheria kumzuia Trump asiweze kugombea tena urais kabisa. Naona taifa la Marekani likianza kugawanyika na kutengeneza kundi la white supremacy, maana sababu halisi ya kura za Trump kuongezka haziko wazi
Mimi naona Democrats walikosea tangu mwanzoni mwa utawala wa Trump maana kiukweli ni kama hawakuwahi kuamini kuwa Trump alishinda urais 2016 na ndiyo maana kulifanyika vote recount katika majimbo kadhaa, Iliposhindikana ikaja hoja ya Urusi kuingilia uchaguzi nk. Na kwakweli urais wa Trump ulikutana na vikwazo vingi toka Democrats na hivyo sishangai kuwa na Repiblicans watakapopata nafasi watajaribu kumkwamisha Biden ingawa nafasi yao ni ndogo kwa kuwa Democratas wanaongoza mabunge yote mawili.
Democrats wanapaswa kuwa waangalifu na Pelosi maana anaonekana kama yeye na Trump wana chuki fulani hivi - sijui ni personal au ni ya kiuongozi.
Unaona hata baada ya haya mashtaka kutupiliwa mbali, bado Pelosi anataka kuunda commission ya kuchunguza suala hili ili kumfungulia Trump mashtaka ya jinai - lengo ni lile lile. Naiona USA ikigawanyika, maana na Trump ni hard fighter and the 74m who voted for him are likely not to back down either
hasa ukizingatia biden sio popular (ndipo nashangaa kura 81M zilikotoka),,,, so far Biden atawaangusha sana Democratic maana ni kama Obama yupo WH.....


nyakati hizi za janga la covid anajiandaa kuwapa uraia wahamiaji haramu 11M,..... tusubiri
 
hasa ukizingatia biden sio popular (ndipo nashangaa kura 81M zilikotoka),,,, so far Biden atawaangusha sana Democratic maana ni kama Obama yupo WH.....


nyakati hizi za janga la covid anajiandaa kuwapa uraia wahamiaji haramu 11M,..... tusubiri
Hata wanaomsupport Biden wanajuta sahizi kwa jinsi anavyoua ajira kwa Executive orders zake.
 
Trump anagombea 2024. GOP wanamhitaji sana Trump 2022
Upo sahihi mahusioano yasiyofaa kati ya baden na Israel yatamuangusha baden kumbuka jeshi, taasisi za kiusalama,na mifumo ya kijeshi imeshikiliwa na wayahudi
 
There is no coming back in any "form" whatsoever!

Trump ameshapotezwa na kushindiliwa kwenye shimo refu.

Bado mashtaka ya jinai yanamsubiri!
Utasubiri Sana pelosi na wahuni wenzake wa democratic wameshindwa kumzuia Trump asigombee 2024
 
Walichokiogopa democrats sasa kinaelekea kutokea. Naona Democrats wanaogopa Trump akigombea tena 2024, maana pamoja na madudu tuliyoamishwa kuwa ameyafanya kwenye utawala wake bado kura zake ziliongezeka kutoka 62,984,828 mwaka 2016 hadi 74,216,154 mwaka 2020! Kura hizi zinamfanya awe second popular president of USA akitanguliwa na Biden aliyepata 81,268,924. Ongezeko hili ndilo linawaogopesha Democrats na hiyo kujaribu kufanya kila lililo ndani ya sheria kumzuia Trump asiweze kugombea tena urais kabisa. Naona taifa la Marekani likianza kugawanyika na kutengeneza kundi la white supremacy, maana sababu halisi ya kura za Trump kuongezka haziko wazi
Mimi naona Democrats walikosea tangu mwanzoni mwa utawala wa Trump maana kiukweli ni kama hawakuwahi kuamini kuwa Trump alishinda urais 2016 na ndiyo maana kulifanyika vote recount katika majimbo kadhaa, Iliposhindikana ikaja hoja ya Urusi kuingilia uchaguzi nk. Na kwakweli urais wa Trump ulikutana na vikwazo vingi toka Democrats na hivyo sishangai kuwa na Repiblicans watakapopata nafasi watajaribu kumkwamisha Biden ingawa nafasi yao ni ndogo kwa kuwa Democratas wanaongoza mabunge yote mawili.
Democrats wanapaswa kuwa waangalifu na Pelosi maana anaonekana kama yeye na Trump wana chuki fulani hivi - sijui ni personal au ni ya kiuongozi.
Unaona hata baada ya haya mashtaka kutupiliwa mbali, bado Pelosi anataka kuunda commission ya kuchunguza suala hili ili kumfungulia Trump mashtaka ya jinai - lengo ni lile lile. Naiona USA ikigawanyika, maana na Trump ni hard fighter and the 74m who voted for him are likely not to back down either
Naunga mkono ulichokiongea
 
Back
Top Bottom