Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linatarajiwa kufanya ukaguzi wa uzingatiaji na utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa Maingira (2004) na Kanuni zake.
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga amesema zoezi hilo linatarajiwa kuanza Mei 28, 2023 na litahusisha uhakiki wa vyeti vya TAM pamoja na uzingatiaji wa masharti na ulipaji wa ada na Tozo mbalimbali.
Pia soma: NEMC yazifungia Bar, Kumbi za Starehe 89 zikiwemo Wavuvi Kempu, Boardroom, Ware House
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga amesema zoezi hilo linatarajiwa kuanza Mei 28, 2023 na litahusisha uhakiki wa vyeti vya TAM pamoja na uzingatiaji wa masharti na ulipaji wa ada na Tozo mbalimbali.
Pia soma: NEMC yazifungia Bar, Kumbi za Starehe 89 zikiwemo Wavuvi Kempu, Boardroom, Ware House