Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefanya kikao na wadau mbalimbali kujadili kuhusu udhibiti wa uchafuzi wa mazingira kwa njia ya kelele.
Katika kikao hicho cha Mei 17, 2023 NEMC ilishirikisha wajumbe kutoka Wizara ya Afya, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Brela, WMA, TBS, COSOTA, pmaoja na BASATA.
Mkutano huo umefanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za NEMC Jijini Dar es Salaam.
Katika kikao hicho cha Mei 17, 2023 NEMC ilishirikisha wajumbe kutoka Wizara ya Afya, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Brela, WMA, TBS, COSOTA, pmaoja na BASATA.
Mkutano huo umefanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za NEMC Jijini Dar es Salaam.