Kwa kweli imekuwa kero kubwa lakini naona NEMC wapo serious na swala hili ,kwani kitaalamu pia imegundulika kelele zimekuwa na madhara makubwa kwa jamii ikipelekea ulemavu na hata vifo ,na juzi nimeona wamekutana na kamati ya amani ili kumaliza kelele zinazotokana na taasisi ya dini