Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira na wadau Dar wakutana katika kikao maalum cha udhibiti kelele

Kimsingi huyu MD wao yupo vizuri kichwani
 
hapo ondoa makanisa hayo wewe, makanisa hayapigi kelele, watu wako ibadani wakimsifu na kumuabudu Muumba wao
 
Kwa hiyo watu waache kufurahi kisa kuna watu wataathirika kwa kelele hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…