johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baraza la wawakilishi Zanzibar ambalo liko kwenye mkutano wao wa mwisho kabla halijavunjwa rasmi limeamua fedha zote zilizobaki kwenye akaunti zitumike kutengeneza Barakoa ambazo zitagawiwa bure kwa wananchi.
Fedha hizo atakabidhiwa makamu wa Rais balozi Seif ili azikabidhi kwa vikosi vya ulinzi watakaotengeneza barakoa hizo.
Naye balozi Seif amewashukuru wawakilishi hao kwa kutopuuzia madhara ya janga hili hatari la Corona.
Chanzo: ITV habari!
Fedha hizo atakabidhiwa makamu wa Rais balozi Seif ili azikabidhi kwa vikosi vya ulinzi watakaotengeneza barakoa hizo.
Naye balozi Seif amewashukuru wawakilishi hao kwa kutopuuzia madhara ya janga hili hatari la Corona.
Chanzo: ITV habari!