Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Yaani Simba wametapeliwa na Mo. Ila ndo hivyo hawajui watafanyaje. Huyo jamaa yeye na familia yao mali zao wamezipata kwa kutapeli mali za serikali miaka na miaka kwa hiyo ni wazoefu kwenye sekta ya utapeli. Kiufupi Mo ni tapeli.π π nashangaa mno MO mwenye asilima 49 ana sauti kuzidi wanasimba wenye asilimia 51, nlidhani maamuzi yanafanywa na wenye asilimia 51.
Haji Manara sio 'ngozi nyeusi'! Haya sasa endelea na madaWahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi
Watu mnao ishi kwa hisia hapa bongo simba itaendelea kutamba kwa aina hii ya washabiki wa utopoloWaliowahi kufanya kazi kwa wahindi kama kina Mo wanajua hali halisi, nenda siku moja kule kwenye viwanda vyake kuulizia mishahara anayolipa, na hivyo ndivyo alivyo, kweli anamwambia manara aondoke kisa kamzidi umaarufu π π
Ni swala la muda tu, Simba kutakuwa na mvutano wa kurudishiwa klab yao alafu Mo anadai bilion 20 zake za hisa + zile 20 nyingine alizozitaja majuzi kutumia kuiendesha simba, Huu mtego simba hawaji kuja kuchomoka. Mtego wa deni
Na simba waombee tu mambo ya familia yasivurugike huko,maana familia ikipata dosari tu imekula kwa simba.
Hata wewe?Dhulumati Huyu wa jasho la mlemavu wa ngozi, hana Huruma hata kidogo kwa walemavu
Wahindi wana roho mbaya sana.....tena ile bodi ya Simba ina watu sio kabisa...Waliowahi kufanya kazi kwa wahindi kama kina Mo wanajua hali halisi, nenda siku moja kule kwenye viwanda vyake kuulizia mishahara anayolipa, na hivyo ndivyo alivyo, kweli anamwambia manara aondoke kisa kamzidi umaarufu [emoji23] [emoji23]
Ni swala la muda tu, Simba kutakuwa na mvutano wa kurudishiwa klab yao alafu Mo anadai bilion 20 zake za hisa + zile 20 nyingine alizozitaja majuzi kutumia kuiendesha simba, Huu mtego simba hawaji kuja kuchomoka. Mtego wa deni
Na simba waombee tu mambo ya familia yasivurugike huko,maana familia ikipata dosari tu imekula kwa simba.
Ndio, walemavu wanahitaji huruma yetuHata wewe?
Manara aache umalaya kutaka kutumikia mabwana watatu kwa wakati mmoja. Mo, GSM na Azam! Sasa amekosa kote.Wahindi wana roho mbaya sana.....tena ile bodi ya Simba ina watu sio kabisa...
Hapa umenenaTIMU YA KIMATAIFA MNAAJIRI MSEMAJI KUTOKA KARIAKOO? SUBIRI AWACHAMBE HADI MKOME. HIYO NI PART 1. MKIJIBU ANATOA PART 2.