Kwangu ni habari njema.
Haiwezekani atusajilie akina Kyombo kwa kushindwa kutoa 400M wakati club ina udhamini mkubwa.
Nachukia ile kauli eti wachezaji wa namna hiyo wapo wengi tu!Ni upumbavu kudhani wachezaji wenye vipaji wako wengi tu na kupuuzia kusajili wanapopatikana