Barbara Gonzalez abwaga Manyanga Simba SC, aandika barua ya kutoa notisi ya mwezi mmoja kujiuzulu

Barbara Gonzalez abwaga Manyanga Simba SC, aandika barua ya kutoa notisi ya mwezi mmoja kujiuzulu

Livejr

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
2,070
Reaction score
2,794
Aomba kujiuzulu na ameandika notisi ya Mwezi Mmoja, ili Januari 2023 aachie ngazi
20221210_182450.jpg
 
Kwangu ni habari njema.
Haiwezekani atusajilie akina Kyombo kwa kushindwa kutoa 400M wakati club ina udhamini mkubwa.

Nachukia ile kauli eti wachezaji wa namna hiyo wapo wengi tu!Ni upumbavu kudhani wachezaji wenye vipaji wako wengi tu na kupuuzia kusajili wanapopatikana

JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom