Barbara Gonzalez abwaga Manyanga Simba SC, aandika barua ya kutoa notisi ya mwezi mmoja kujiuzulu

Aomba kujiuzulu na ameandika notisi ya Mwezi Mmoja, ili Januari 2023 aachie ngaziView attachment 2442080
Hii kitu ilikuwa inafukuta chini kwa chini na ilikuwa inazimwa kiaina kuwa ndani ya klabu ni shwali kumbe penye moshi kinachofata ni moto,,Manara alisema akabezwa sasa kango'lewa na kauli ya manara imetimia rasmi,, Nakubaliana na yote yanayosemwa kwa sasa kuwa Mhindi kaisusa timu na hali ya kifedha imekuwa ngumu na basi la timu kukamatwa pamoja na wachezaji kutopewa posho zao ni dalili za ukata kwenye klabu,, Sasa mwandani wa mwekezaji katangulia anayefata ni Mzee wa kususa atataka auze hisa ambazo azijulikani alizilipia lini na wapi,,hapo ndo kutakuwa na mtifuano,,acha wafu wazikane mficha maradhi kifo umuumbua
 
Timu tunamuachia kigwangwalla aiongoze yeye
 
Cc: GENTAMYCIME MINOCYCLINE
 

Sasa shida iko wapi? Kujiuzulu alijiuzulu hata kiongozi mkubwa wa Serikali na maisha yaliendelea. Alijiuzulu CEO wa Simba kisha wa Yanga na zote hizo maisha yanaendelea hizo promo za Manara unazompa hazina mantiki yoyote
 
Mvivu sana kutafuta habari.

Mtu anapaswa kuleta habari na cha
Mvivu sana kutafuta habari.

Mtu anapaswa kuleta habari na ikiwezekana na chanzo cha habari hiyo kama ikiwezekana.

Angesema ni kupitia twitter account ya Barbara.

Wewe mpaka umdhihaki mtu kumuita mvivu. Standard ya upashanaji habari haiko hivyo. Eti mvivu.
 
Bongo kupambana na mafisadi ngumu sana kuanzia serikalini mpaka kwenye sekta nyingine yaani kila mtu anataka apige dili yaani wazee wa 10 % wamefurahi leo
 
Barbra alikuwa icon ya SIMBA kimataifa..
Alikuwa matazamo kibiashara. ..Alihitaji pia azungukwe na watu wazuri wa kiufundi .

Hatujui nidhamu ya fedha ilikuwaje....mamake SIMBA imekua na viongozi wengi before...but Barbra nikimuona she is serious in club investment.badala ya wale wachumia tumbo..

Anyway hatujui sana mapungufu yake...lakini nani ataziba nafasi mwenye mvuto wa kibiashara..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…