Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Mdhamin yupi nawakati dewji yupoSimba itapitia wakati mgumu lakini itakuja kupata mdhamini na menejimenti bora zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdhamin yupi nawakati dewji yupoSimba itapitia wakati mgumu lakini itakuja kupata mdhamini na menejimenti bora zaidi
Tangu msimu ulioisha mambo hayakuwa mazuri yalifichwa tu muda utasema ukweliKuna kitu hakipo sawa ndani ya Simba, wanapaswa kujitafakari kabla mambo hayajaharibika, Wahenga walisema usipoziba ufa...............?
Mwina kadugudaBarbra alikuwa icon ya SIMBA kimataifa..
Alikuwa matazamo kibiashara. ..Alihitaji pia azungukwe na watu wazuri wa kiufundi .
Hatujui nidhamu ya fedha ilikuwaje....mamake SIMBA imekua na viongozi wengi before...but Barbra nikimuona she is serious in club investment.badala ya wale wachumia tumbo..
Anyway hatujui sana mapungufu yake...lakini nani ataziba nafasi mwenye mvuto wa kibiashara..
Hivi unaakili kweli bakheresa anammiliki azam, huwez miliki timu mbiliMzee Backhresa akiacha kununua izo hisa uniite mzee Makamba nipo nimekaa palee 👉
Si rahisiMo anasepa muda si mrefu
Simba itapitia wakati mgumu lakini itakuja kupata mdhamini na menejimenti bora zaidi
Kwani mdhamini yupi kaondoka?
Sio kweli kuwa upinzani utasuasua bali tayari umeshaisha mazima!ni lini tena Somba itaifunga Yanga? Mara ya mwisho ilikuwa lini Yanga wakiwa kamili 11 uwanjani bila mgogoro klabuni jangwani wakafungwa na Simba? Ni before 2012!Hiki sio kitu cha kufurahia kama unapenda soka la bongo,huyu demu alikuwa ana ishape Simba iwe na uwezo wa kujiendesha kwa kuziba mianya ya upotevu wa hela.
Najua wahuni wa Simba wakina Kassim Dewji wamefurahi, ila wanaiharibu timu kwani MO nae mda si mrefu ataamsha,mpira hela na mpira uwekezaji so akiamsha MO hata timu itasuasua nule ushindani utapungua.
Ndio ukweli wenyewe..All the best kwake..
Ameonesha kwa vitendo alivyo na uwezo mkubwa wa kufanya kazi, tatizo uswahili uliingilia utendaji wake, na kwake ili kulinda heshima na hadhi yake na kazi yake, imembidi aondoke.
Goodbye Barbra G.
utaenda kupiga nini pale wakati rais ni kanjiHaya wapigaji tukajipigie sasa mana tumebanwa sasa fungulia mbwa hiyo imefika
Nafasi ya baibra wampe kadugudaBarbra alikuwa icon ya SIMBA kimataifa..
Alikuwa matazamo kibiashara. ..Alihitaji pia azungukwe na watu wazuri wa kiufundi .
Hatujui nidhamu ya fedha ilikuwaje....mamake SIMBA imekua na viongozi wengi before...but Barbra nikimuona she is serious in club investment.badala ya wale wachumia tumbo..
Anyway hatujui sana mapungufu yake...lakini nani ataziba nafasi mwenye mvuto wa kibiashara..