Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Mkurugenzi Mtendaji wa Simba Barbara Gonzalez amethibitisha kuwa kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Bernard Morrison hawezi kuingia ndani ya ardhi ya Afrika Kusini kutokana na kuwa na kizuizi cha kuingia nchini humo.
Morrison kabla ya kujiunga na klabu za Yanga na Simba alishawahi kufanya kazi nchini Afrika Kusini katika klabu ya Orlando Pirates, aliondoka klabuni hapo kutokana na matatizo ya utovu wa nidhamu.
Morrison kabla ya kujiunga na klabu za Yanga na Simba alishawahi kufanya kazi nchini Afrika Kusini katika klabu ya Orlando Pirates, aliondoka klabuni hapo kutokana na matatizo ya utovu wa nidhamu.