Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Wakati anacheza yanga alikua kibaka sugu?Jambazi sugu ilo SA hawawezi liruhusu lishapigwa Ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati anacheza yanga alikua kibaka sugu?Jambazi sugu ilo SA hawawezi liruhusu lishapigwa Ban
Mimi nachojua hakuna rangi nyeusi ambaye si mwizi ila tumezidiana,, wengine wanaiba pakubwa mnooo,,,
Hakika jamaa ni mwizi sana imagine aliiba mpaka mkataba wake.Huyu Morison tuwe naye makini sana anaweza kuiba hata Ng'ombe wa Mayelle the predator.
Nani alikudanganya? Morrison hakuingia South Africa, wajinga kama wewe ndio mlitengenezewa sinema kwamba amekwenda na timu.Mbona msimu uliopita aliingia?
kwani huwezi kufafanua bila kutukana? kama kila mtu anajua kila kitu basi hili jukwaa halina haja ya kuwepoNani alikudanganya? Morrison hakuingia South Africa, wajinga kama wewe ndio mlitengenezewa sinema kwamba amekwenda na timu.
Nioneshe ni wapi nimemtukana mtu zaidi tu ya kumsifu?kwani huwezi kufafanua bila kutukana? kama kila mtu anajua kila kitu basi hili jukwaa halina haja ya kuwepo
wewe nikikuita "mjinga kama wewe" ni sawa?Nioneshe ni wapi nimemtukana mtu zaidi tu ya kumsifu?
Mkuu kuna watu wana frustration za maisha balaa,kwani huwezi kufafanua bila kutukana? kama kila mtu anajua kila kitu basi hili jukwaa halina haja ya kuwepo
Sasa Morrison ana kadi tatu za njano south anaenda kufanya nini?Nani alikudanganya? Morrison hakuingia South Africa, wajinga kama wewe ndio mlitengenezewa sinema kwamba amekwenda na timu.
Sawa wewe mwerevuNani alikudanganya? Morrison hakuingia South Africa, wajinga kama wewe ndio mlitengenezewa sinema kwamba amekwenda na timu.