Ok.Haingii SA.Tatizo lako ni nini?
Wizi wa gari, Audi.Mtuambie sababu Kwa uwazi. Kwani kuwahi kucheza Afrika Kusini ndo sababu ya kutoruhusiwa kurudi huko?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Kwa mkapa hachezi yeye na sadio kanuti wana kadi za njano 3Atacheza kwa Mkapa
Unauhakika na unachokinenaKwa mkapa hachezi yeye na sadio kanuti wana kadi za njano 3