Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

Kwa Kukusaidia tu nimeanza kuwa Maarufu tokea nikiwa bado Tumboni mwa Mama yangu Mzazi na hata Wewe nina uhakika tena wa 100% kuwa GENTAMYCINE nisingekuwa 'this famous and attractive' kwa Jamvi hili la JamiiForums wala usingekuwa Unanifuatilia 24/7 na kujua kuwa natafuta Umaarufu.

Mswahili na Mpuuzi mkubwa Wewe hebu nitokee hapa sawa? Kwani na Wewe umezuiwa au umeshindwa Kuutafuta huo Umaarufu ambao Unaumizwa Mimi ama kuwa nao au Kuutafuta hapa?
We mama endelea kuhangaika na mambo ya wanawake ambayo ni personal(et wanabaiolojiana) kuna siku na wewe tutakuja tukuombe uchumba labda ndo utatulia..
 
Demu mjivuni huwa hajifichi kabisa ,Mimi Ni Simba ila kwa hili naunga hoja ,Yule demu Ana makando kando mengi Sana pale Simba ,pia lilikua kosa kubwa huyo demu kuwa CEO pale ingawa yupo upande wa MO lain kadominate Simba nzima ,na yupo pale kisa mapenz na gabachori.

Kademu Ni kana roho ya kwanini Ni vile watu wanakakingia kifua ,ukiona Hadi Karia mwana Simba Lia Lia ameanza kuikomoa Simba jua kuna mambo mengi Sana hako kadem kamefanya Sasa Karia kaona Bora tukose wote Zaid anakatengenezea mazingira ili kasepe hapo Simba na katasepa tu.

Pia za ndani nasikia kanabomolewa na forward butu kiwahi tokea hapo Simba na hakataki jamaa asepe hapo so hata MO kana mcheat Kiana ila ukweli uko hivyo ,so huyo forward yupo Sana tu hapo Simba maana anakakuna vzr na kanamwelewa sana mwamba .
Manara Ni kweli katendwa Sana na hako kademu Ni vile tu nae manara alivuka mipaka na kuitukana Simba yote ndio maana kageuka adui wa Wana Lunyasi ,ila angeamua akomae nako bila kuihusisha Simba wengi wangekua upande wa manara.
Manara hakuchanga vzr karata zake namna ya kujiepusha kuidiss Simba ,alipaswa akomae na hako hako kaslim Vita hii angeishinda mapema sana
Asante sana kwa Kunielewa Mkuu na huenda Wewe ndiyo mwana Simba SC pekee mwenye Akili na usiye Mnafiki uliyeuchangia Uzi huu vyema tofauti na wana Simba SC Madunduna wengi waliojifanya Kunishambulia na Wote nimewapa na nitawapa Dozi zao stahili na stahiki kabisa.
 
Huyo mdau, hana nia njema na Simba. Na kwenye uzi huu, wanaoushabikia huu UPUUZI, wengi wao ni wana UTOPOLO!
Na tatizo huyu mtu, kujifanya anajua kila kitu. Kuanzia kupanga kikosi, kuroga, yaani kila mbinu, ANAJIFANYA anajua!
Kimsingi GENTAMYCINE ana hoja za msingi kwahyo ni vema tukajikita kwenye hoja zake pasipo kuangalia nadharia yoyote ile.
 
We mama endelea kuhangaika na mambo ya wanawake ambayo ni personal(et wanabaiolojiana) kuna siku na wewe tutakuja tukuombe uchumba labda ndo utatulia..
Another Cretin Creature.
 
Kimsingi GENTAMYCINE ana hoja za msingi kwahyo ni vema tukajikita kwenye hoja zake pasipo kuangalia nadharia yoyote ile.
Tena uwaambie vizuri Mkuu wakitaka Hoja basi wajikite katika Hoja ila wakitaka Vita ya Maneno na Maandishi nami kamwe hawataniweza kwani nina Taaluma ya Kujibizana na Wapuuzi 1000 kama Wao kwa wakati Mmoja na hakuna wa Kuniweza.
 
POA. Ila siku zote ukweli unaumaaaa. Pia ukweli HUWA haupendwi.
Usijali Mkuu nilishajiandaa Kupambana nao hao wana Simba SC Wapuuzi na Wanafiki kutokana na huu Ukweli wangu na nawajibu kadri wanavyokuja Kwangu na wasisahau kuwa wengine Vita ni sehemu ya Maisha yetu na tunaviweza vile vile halafu hatujawahi Kuvishindwa / Kushindwa.
 
GENTAMYCINE nimekuwa nikitumia Nguvu Kubwa sana hapa JamiiForums Kuwashaurini na hata kwa Kuwaongoza kwa yale msiyoyajua ila mmekuwa mkinipuuza hivyo sasa acha yakupate na yatupate ili tushike Adabu zetu.

CEO Barbara Gonzalez tafadhali GENTAMYCINE nakuomba acha mara moja Kuiingiza Taasisi ya Simba SC katika Mgogoro wako Binafsi na huyo Afisa wa TFF ( ambaye ni Mwanamke Mwenzako ) na kutafuta Huruma ya Kilazima kutoka Kwetu Mashabiki wa Simba SC na najua wale Mashabiki Wapumbavu ( Mapopoma ) watakuunga mkono ila siyo Kwangu Mimi GENTAMYCINE ( Jeshi la Mru Mmoja ) kutokea Mkoani Mara ( Musoma )

CEO Barbara Gonzalez ukaribu wako wa 'Kibaiolojia' na Mwekezaji Tajiri Mohammed Mo Dewji kumekupa Jeuri, Dharau na Kiburi na kwa Watu tunaoijua Simba SC kabla yako, tuliojitolea Kuipigania, tunaokujua vyema hasa kupitia Watu wako wa karibu katika Menejimenti ya Simba SC tunaposikia kuwa Unatukana Watu au Kuwajibu hovyo hatukushangai kwani ndiyo Ukweli na ndivyo ulivyo 100% pia.

Hivi majuzi hapa hapa JamiiForums niliandika Uzi wa Kuwashtueni Viongozi wa Simba SC kuwa amkeni imarisheni Kitengo chenu cha Umafia kwani tunaumizwa ila kwa Upumbavu ( Upopoma ) wenu hamkunielewa na sasa mnabaki Kulialia tu hovyo.

Usichokjjua CEO Barbara Gonzalez ni kwamba Kiburi chako, Jeuri yako na Dharau zako za Pesa ( Utajiri ) unaopewa na 'Mbaiolojia' Mwenzako Tajiri Mo Dewji ndiyo ANGUKO KUU la Simba SC na hasa katika Kukomolewa Kwetu huku kuhusu Viwanja vya Kuchezea na Ratiba Ngumu kwani TFF ya Karia nayo sasa inakunyoosha 'Kiaina' kwa Hasira za kutaka Kuwatibulia Keki yao ya Tsh Bilioni 2 za Udhamini wa GSM na Uvaaji wa Nembo yao.

Simba SC inakomolewa kwa ajili yako na hiyo Kesi ni sehemu moja tu ya Kukuchanganya Kisaikolojia ( na kwa jinsi nilivyokusikia Ukiongea EFM jana na Maulid Kitenge ) tayari Umeshaanza Kuchanganyikiwa na hapo bado mpaka 'Uuteme' Mwenyewe huo U - CEO wako uliopewa 'kinamna namna' tu.

Halafu CEO Barbara Gonzalez Kauli yako ya kusema kuwa Mwenendo mbaya wa Simba SC kwa 50% unachangiwa na Wewe Kuandamwa Kwako na Vita hii ya TFF, GSM na Wewe waambie Wapuuzi unaofanana nao ila kwa Mimi GENTAMYCINE najua kuwa Wewe na Uongozi wako wa Simba SC ukimuhusisha 'Mbaioloji' Mwenzako Tajiri Mo Dewji mmeacha Kusajili Wachezaji wazuri, mmeshatengeneza Matabaka ndani ya Kikosi cha Simba SC na hamuwalipi vyema Wachezaji hasa Posho zao na Timu nzima imekosa 'morale' huku mkificha kuwa kwa sasa Tajiri Mo Dewji hatoi tena Pesa Klabuni kutokana na kidogo Kuyumba Kibiashara huku GSM sasa Wakiimarika zaidi kutokana na Mfumo wa sasa Kiutawala.

CEO Barbara Gonzalez niliyeandika Uzi huu ni Mimi GENTAMYCINE mwana Simba SC lia lia hivyo usije kudhani labda ni mwana Yanga SC au natumiwa na Yanga SC isipokuwa nimeshindwa Kuuvumilia Upuuzi na Unafiki ambao unaendelea Kushamiri ndani ya Klabu yangu pendwa na Tukuka ya Simba SC.

Hongera ( Hongereni ) sana kwa Kujitutumua Kuicheza kwa Nguvu zote Mechi ya Kesho na Kagera Sugar FC ( huku mkizipuuza zile Mbili za Mbeya City na Mtibwa Sugar FC ) ila msisahau tu kuwa TAKUKURU na Serikali haijalala na ipo macho 24/7.

CEO Barbara Gonzalez nitakuona tu una Akili na upo Makini kama Ukikiri kuwa kwa Msimu huu Watani zetu Yanga SC wako vizuri, wametuzidi Ujanja ( Kete ) na kwamba wana Uwezekano wa Kuwa Mabingwa hivyo Simba SC tujitahidi tu Kupambana nao ila Nguvu yetu Kubwa tuielekeze katika ASFC ( FA ) kama na huko pia tutabahatika nako.

Kwa wale Wote ( hasa wana Simba SC ) ambao mtakereka na Kuchukizwa na huu Uzi wangu Ushauri wangu Kwenu ni ama Kunibloku ( Ignore ) msiwe mnanisoma

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambapo huwa sikai na Uchafu na hata kama ukiwa ni Rafiki yangu au Ndugu yangu ukikosea ( ukikengeuka ) tu nitakusema ( nitakukosoa ) bila Aibu au Uwoga ili Ujitathmini na Ubadilike upesi.

Na nina bahati mbaya moja huwa siyo Mnafiki, sipendi Unafiki na sijui Kujipendekeza ( Kujikomba ) kwa Mtu hata akiwa ni Tajiri, Maarufu au ameshawahi Kunisaidia kwa chochote / lolote.

Nimemaliza.
We nawe hovyo kabisa. Unashindwa kuwalaumu hao wanaoionea taasisi (simba).

Kama wanaougomvi na Barbra Simba inaadhibiwa vipi. Kama makosa yapo apewe adhabu.

Lakini kama anaipambania Simba katika mambo ambayo yanatibua michongo yao TFF kujinufaisha inabidi umpe pongezi.

Simba haiwezi kutumika kama mgongo kujaza matumbo yao.

Hao TFF wasimamie mpira kwa haki kwa vilabu vyote. Sio kuamua kuikomoa timu flani kiufundi kwa maslahi yao.

Watambue,timu ni ya sisi mashabiki. Wakiendelea kuzingua ghadhabu zetu watakutana nazo.

Aione PM na Spika wetu mpya.

Hao viongozi wa TFF unaowaona kama wapo sahihi. Kwa taarifa yako wameshajaa kwenye mtego. Bado kufyatuliwa tu.
 
We nawe hovyo kabisa. Unashindwa kuwalaumu hao wanaoionea taasisi (simba).

Kama wanaougomvi na Barbra Simba inaadhibiwa vipi. Kama makosa yapo apewe adhabu.

Lakini kama anaipambania Simba katika mambo ambayo yanatibua michongo yao TFF kujinufaisha inabidi umpe pongezi.

Simba haiwezi kutumika kama mgongo kujaza matumbo yao.

Hao TFF wasimamie mpira kwa haki kwa vilabu vyote. Sio kuamua kuikomoa timu flani kiufundi kwa maslahi yao.

Watambue,timu ni ya sisi mashabiki. Wakiendelea kuzingua ghadhabu zetu watakutana nazo.

Aione PM na Spika wetu mpya.

Hao viongozi wa TFF unaowaona kama wapo sahihi. Kwa taarifa yako wameshajaa kwenye mtego. Bado kufyatuliwa tu.
Hopefully you know that you're a Fool!!!
 
Nipo pamoja na CEO wa simba.
Hayo matatizo ameyapata akiwa anaitumikia simba
 
Wewe sio mshabiki wa Simba na wala huna mapenzi na Simba hata kidogo. Nakufananisha na Manara ambaye baada ya kuleta ujuaji akabanwa akahamisha ugomvi binafsi na kuanza kuhujumu timu nzima
Kwahiyo Simba haishindi bila nyinyi kuroga au kuwapa madawa wapinzani???...hata kama ni kweli mwanasimba mwenye mapenzi na timu hawezi kutoa Siri za kuchafua timu na mbinu zinazotumika kwa wapinzani.
Inakera sana timu kuwa na washabiki fake kama nyinyi ambao mnasubiri timu iyumbe ndo mje na upuuzi kama huu. Simba haiwezi kuchukua ubingwa kila mwaka, inapopitia nyakati kama hizi, mashabiki wa kweli huwa tunasimama na timu na sio kuibomoa na kuanza kutafuta mchawi
Kama CEO kweli anatoka na MO hayo mambo Yao binafsi, mbona timu ilikuwa ilikuwa vizuri tu pamoja na hayo mambo Yao???
Niseme tu huwa nakubaliana na baadhi ya hoja zako ila hapa umechemka vibaya sana
 
Kademu Ni kana roho ya kwanini Ni vile watu wanakakingia kifua ,ukiona Hadi Karia mwana Simba Lia Lia ameanza kuikomoa Simba jua kuna mambo mengi Sana hako kadem kamefanya Sasa Karia kaona Bora tukose wote Zaid anakatengenezea mazingira ili kasepe hapo Simba na katasepa tu.

Hili nalo linafikirisha aisee.
 
We nawe hovyo kabisa. Unashindwa kuwalaumu hao wanaoionea taasisi (simba).

Kama wanaougomvi na Barbra Simba inaadhibiwa vipi. Kama makosa yapo apewe adhabu.

Lakini kama anaipambania Simba katika mambo ambayo yanatibua michongo yao TFF kujinufaisha inabidi umpe pongezi.

Simba haiwezi kutumika kama mgongo kujaza matumbo yao.

Hao TFF wasimamie mpira kwa haki kwa vilabu vyote. Sio kuamua kuikomoa timu flani kiufundi kwa maslahi yao.

Watambue,timu ni ya sisi mashabiki. Wakiendelea kuzingua ghadhabu zetu watakutana nazo.

Aione PM na Spika wetu mpya.

Hao viongozi wa TFF unaowaona kama wapo sahihi. Kwa taarifa yako wameshajaa kwenye mtego. Bado kufyatuliwa tu.
Acha vitisho wewe Kolo,eti aione PM na Spika mpya. Unadhani hizi ni zile zama za yule mungu wenu mfu wa Chato na yule tako juu Bashite? Mwaka huu mtatafutana kwa torch.
 
kesi ameipata akiwa anatekeleza majukumu ya kila siku ya klabu sasa vipi ajitenganishe na ssc

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiagizwa na mwajiri wako kutekeleza majukumu yako ya kikazi alafu njiani ukampiga mtu makofi hiyo siyo kesi ya ofisi.

Ndiyo maana TFF wao walidili naye kama CEO kuvunja kanuni zao
 
Genta, nakupendaaa na nimejitolea kuolewa na wewe kolo[emoji23][emoji23]
Umejiandaa kupokea matusi mazito mazito hasa yanayohusu ukoo wenu? Ila wanawake hawasomekagi, kuna dada mmoja humu aliwahi kusema anapenda kuolewa na mwanaume mkorofi korofi hivi, sio mwanaume aliyepoa hata fujo hafanyi
 
Mtu kasema ukweli Makolo wenzie wamemreport kala BAN ukweli unauma kudadadeki
 
Back
Top Bottom