Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

Imeshavurugwa na 'Kubaiolojiana' Kwao Mwekezaji na CEO ila kwa Upumbavu wako ulionao wa Kurithishwa hili hujaliona au kuligundua.
Kumbe Mods wamekupumzisha kwa muda pole sana MwanaJF mwenzetu na shabiki mwenzangu wa Simba
 
Tunaelekea kuzuri kama ni kwl

IMG-20220128-WA0089.jpg
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nashukuru kwa Kunielewa Mkuu na kuhusu aliyekuwa Msemaji wetu Haji Manara kumsema vibaya CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez alikuwa sahihi tena 100% kabisa sena tu akina Sisi Wabobezi na Waandamizi wa Propaganda akina GENTAMYCINE tuliamua tu Kupambana na Manara ili Kutuliza Hali na Kumuweka sawa CEO wetu Barbara Gonzalez ili ajikite zaidi katika Kuipigania Simba SC yetu.

Lakini cha Kushangaza analeta Dharau, Jeuri na Kiburi hata kwa Watu ambao wanamshauri ( tunamshauri ) halafu wala hatutaki Malipo yake yoyote kwani Umasikini wetu tumeshauzoea, ila tuna Mapenzi ya Kweli na ya Kujitoa Mhanga kwa Simba SC yetu.

Mkuu nina Nyeti Mbili ambazo nazihifadhi Kwanza kwa Maslahi mapana ya Simba SC yangu ( yetu ) kwani najua wana Simba SC wakizijua ( zikienda Public ) Moto mkubwa sana utawaka Klabuni.

Wajitahidi mno Kesho Simba SC ishinde.
Daah
 
Ww ni nguchiro na huna huo uspecial unaojipa
75% ya Ushindi wa Simba SC hasa katika CAF CL Msimu uliopita licha ya Maandalizi ya Kikosi chetu ila Umafia hasa wa kutumia Dawa za Kupulizia Vyumbani ( Watu wa Mpira tunaiita 4-4-2 ) ili Kuwavunja Nguvu Wapinzani ilitumika sana na hasa katika Vipindi vya Pili vya Mpira.

Nimeshiriki kufanya hivyo katika Mechi moja ya mwanzo kwa Maelekezo ya Bingwa wa Umafia Kapteni wa zamani wa JWTZ ( Marehemu ) Zacharia Hanspoppe na nitashangaa Mtu wa Simba SC akilibishia hili.
 
Huyu ntashangaa kama hapigwi wima,yaan ana elements zote za kike
We mama endelea kuhangaika na mambo ya wanawake ambayo ni personal(et wanabaiolojiana) kuna siku na wewe tutakuja tukuombe uchumba labda ndo utatulia..
 
Back
Top Bottom