Barbara Gonzalez na Tamaa ya Umaarufu

Sitaki kuamini hukuwa high wakati unaandika huu uzi, babra kaingia simba baada ya senzo kusepa halafu wewe unaandika utopolo hapa
 
Kwa jinsi ulivyoandika hata wewe hujasoma kama ndugu Manara
Wewe ndo huelewi kitu , kichwa chako kimejaa makamasi , unadandia treni hata huelewi linaelekea wapi[emoji41][emoji41][emoji41]
 
CEO inaanza kushuka maana yake
Cheo kinakuwa hakina tofauti na supu na chapati
 
Kabla ya mkataba alikuwa anakula 700k ila baada ya kutiwa mkataba sahizi huenda anakula hata 2M
Baada ya kupewa mkataba yupo kwenye 4m Ila hata hivyo haku Saini maana hizo endorsements zake anapata zaidi hiyo 4m so anaamini kuwa bado yup. Underpaid.
 
Baada ya kupewa mkataba yupo kwenye 4m Ila hata hivyo haku Saini maana hizo endorsements zake anapata zaidi hiyo 4m so anaamini kuwa bado yup. Underpaid.
Kweli endorsements zinalipa sana
 
Wewe na huyo Haji..kwenda zenu!
 
Naipenda HAMASA ya Manara, lakini natofautiana na hulka yake ya kuongea hovyo hata mambo ambayo kimsingi yangepaswa kujadiliwa ndani ya uongozi wa club yeye anapeleka taharuki kwenye vyombo vya habari!
Ifike mahala Simba iendeshwe kisomi, Haya mambo ya kuropoka hovyo tuwaachie Yanga, sisi twende next level!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…