Tuacheni ushamba, kamati zoote za CAF wajumbe au viongozi wake wanatoka katika FA za nchi mbalimbali Afrika. Tumekua na wajumbe katika kamati za CAF tangu Enzi za Said Elmaamly, Leodigar Tenga n.k Tena wajumbe wa kudumu achana na awa ambao Leo unateuliwa kesho katibu wa CAf akiwa mwingine unaondolewa.
Lakini hiyo yote haijawahi kubadili kiwango Cha mpira wetu. Mabadiliko ya Soka letu hayataletwa na Teuzi za watu wetu uko Caf.
Kunahitajika viongozi safi wenye kuweza kushawishi uwekezaji na mazingira rafiki katika mpira wetu.