Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Yanga wamechoka Manara
Mpira unatakiwa uzue hasira namna hii ili usikauke midomoni mwa watu. Vumilia tuHakuna timu za kijinga kama simba na yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia... Eti leo yanga timu yangu inamuona mkude ni mtu,mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
"Una kitu" USIKILIZWE [emoji1787]Kamfata mkude au?
Nakazia hapa😅😂"Una kitu" USIKILIZWE [emoji1787]
Alikuwa anacheza namba ngapi?Kumbe ndiyo maana akiwa CEO hakuwahi kuifunga Yanga kwenye Ligi Kuu
Chini ya uongozi wake pia sajili za wachezaji zilikua mbovu kuidhoofisha timuKumbe ndiyo maana akiwa CEO hakuwahi kuifunga Yanga kwenye Ligi Kuu
Muache tu. Bad timing anafanya. This time approval rate ya MO iko juu hivyo wana Simba watamgeuzia kibao yeye.Chini ya uongozi wake pia sajili za wachezaji zilikua mbovu kuidhoofisha timu
Chikwende, Banda, Akpan, Dejan, Okwa, Ouatara, Okra. Kilizingua sana kile kibibi.
duhTetesi bado hazijaweka wazi anakwenda Yanga kufanya kazi gani but zinasema anakwenda Yanga na muda si mrefu atatangazwa rasmi.
Barbra: Karibu sana kwenye klabu yako ya tangu utotoni kule simba ulikuwa kikazi tu ila mapenzi yako yapo Yanga.
Mkuu kuna vitu hata havitakiwi kukuumiza kichwa relaxHakuna timu za kijinga kama simba na yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...
Eti leo yanga timu yangu inamuona mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
UmeniwahiKamfata mkude au?
Unamjua Manara kwa kupiga U-Turn na kumeza maneno au unamsikia tu?😀Yanga wamemchoka Manara