Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msomali mtu m'bad sana anawachanganya mahasimu wawili.Yanga wamemchoka Manara
Hamuitaki chombo ya Mhandisi mna ubavu huo.Hatumtaki yanga
Alikuwa anacheza number ngapi pale Simba? Zeruzeru aliposema kuwa wenye akili uko kwenu ni wawili naweza kumuunga mkono!Kumbe ndiyo maana akiwa CEO hakuwahi kuifunga Yanga kwenye Ligi Kuu
Safi sana wazee wa used
Tetesi bado hazijaweka wazi anakwenda Yanga kufanya kazi gani but zinasema anakwenda Yanga na muda si mrefu atatangazwa rasmi.
Barbra: Karibu sana kwenye klabu yako ya tangu utotoni kule simba ulikuwa kikazi tu ila mapenzi yako yapo Yanga.
Kwenye simba na Yanga, profesa wa UDSM anakuwa sawa na muuza Dadii wa Matejoo. Ukiingia kwenye ushabiki wa hizo timu ili ufaidi haitakiwi uwe na akili timamu. Ingia huko ukiwa umejizima dataHakuna timu za kijinga kama simba na yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...
Eti leo yanga timu yangu inamuona mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
Zamoyoni Mogela, Method Mogela, Hamisi Thobias Gaga, Yussuf A. I. Bana, super Coach S. Mziray n.kSafi sana wazee wa used
Vuteni gomba hilo
Senzo
Haji
Barbara
Mkude
Morrison na Manara uliwataka?Hatumtaki yanga
Umemsahau MorrisonSafi sana wazee wa used
Vuteni gomba hilo
Senzo
Haji
Barbara
Mkude
Wameshazoea kuokota okotaYanga wamemchoka Manara
Uongozi wa Simba Sc umemtangaza mtendaji mkuu mpya wa klabu yao(CEO), Barbara Gonzalez ambaye atakuwa mrithi katika kiti cha Senzo Mbatha ambaye alijiuzulu na kuibukia Yanga Sc.
Kuna mwanamke anatoka na mwanaume usiemkubari, unajisemea yaan yule ndie anaelala nae kitandani? Utakufa na KIHORO usichukulie Mambo serious sanaHakuna timu za kijinga kama Simba na Yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina Morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...
Eti leo Yanga timu yangu inamuona Mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana