Tangu kuanzishwa kwa simba 1936 mpaka leo hii hakuna hata mahali sunderland(simba) walitembeza bakuli na hawatotembeza bakuli nipo hapaManara ni chawa aliyekomaa, kwake ni pesa tu mapenzi kwa timu siyo hoja ya msingi sana kwake. Hao wakiondoka hawezi rejea kwani Simba itahamia kwenye kutembeleza bakuli na hayuko tayari kurudi huko, labda Mo aondoke na aje tajiri wa kueleweka kama Bahresa.
Mbona kama umeumia kusikia huo ujumbeWewe ni Simba? Nenda kamwambie face to face, don't hide here with fake ID
Muda sio mrefu utasema tena hatumtaki Barbara. Kaka jifunze kutumia kusema kwa takwimu. kama huna takwimu tumia neno "Mimi ......." mfano, sema mimi simpendi yule msichana badala ya kusema watu hawampendi yule msichana, au msichana yule ana tabia mbaya, sikipendi hiki chakula, simpendi mke wangu, nk. maana inawezekana kuna watu wanaompenda meo ingawa wewe mwenyewe humpendi.Wewe ndio unajitoa ufahamu ulishasikia Kuna mtu kajitoa Simba sababu ya Manara
Wewe utopolo unataka kuwaamlia Simba au kuwasemea Simba Kuna mwanasimba yoyote amekutumaMuda sio mrefu utasema tena hatumtaki Barbara. Kaka jifunze kutumia kusema kwa takwimu. kama huna takwimu tumia neno "Mimi ......." mfano, sema mimi simpendi yule msichana badala ya kusema watu hawampendi yule msichana, au msichana yule ana tabia mbaya, sikipendi hiki chakula, simpendi mke wangu, nk. maana inawezekana kuna watu wanaompenda meo ingawa wewe mwenyewe humpendi.
Inaonekana na wewe upo yanga kimaslahi siku Simba wakikuahidi kitu unahamia SimbaSio kweli, aliachana na Barbara sio Simba, we vepe.
Manara ni wa kwenu bhana! Aliajiriwa Yanga na GSM, baada ya kulalamika mshahara mbuzi wa laki 7!Manara wa kwenu hakuna anayemtaka Simba bila kujali Babra na Mo wapi au wameondoka
OKHapana, njaa ndiyo inatufanya tufanyekazi sisi wote, na hii ni kwa viumbe vyote. Lakini Haji hakosi chakula ninavyomuona kwa macho ya nyama. Mtu mwenye wafuasi zaidi ya 4m Instagram bila shaka ni mtu maarufu kwa kibongobongo. Kwanini watu wana m follow, lazima anacho kitu cha ziada. Siku ya yanga day nilihudhuria wakati Haji ikijulikana kuwa amefungiwa na tefutefu asishiriki mpira. Yanga akawa na ma MC wengine pale uwanjani akina Dakota, Kitenge na Zimbwela ambao walionekana kupwaya kabisa pale uwanjani. ghafla Manara akaibukia uwanjani kutoka kusikojulikana, watu wooote walilipuka kwa shangwe na uhai ukarejea pale uwanjani. Nataka tu kusema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Manara anajua kuliko watu wengi sana kwenye tasnia yake.
Majina kama Mwamba wa Lusaka ambayo yanavuma hadi leo pale simba ni zao la huyu bwana. Manara anazifahamu haki zake na anajua kuzidai kitu ambacho wafanyakazi wa tanzania wakiwemo ma professor wakubwa wanashindwa kudai haki zao, wanapunjwa na waajili wao kama mazuzu na kuishia kutoa huduma hafifu na kupokea rushwa kutoka kwa wanaowahudumia kama njia mbadala ya kuishi.
Tulimpa baraka zote mlipomchukua Sasa hivi tuna Ahmed Ally anatoshaManara ni wa kwenu bhana! Aliajiriwa Yanga na GSM, baada ya kulalamika mshahara mbuzi wa laki 7!
Ila kimsingi yule jamaa ni ndugu yenu kabisa wa damu. Na siku si nyingi atarejea kwenye klabu yenu. Sisi Yanga hatuna shida naye tena. Tulimchukua kwa muda tu, ili kuwakera! na kwa sasa hana tena nafasi kwenye klabu yetu. Ali Kamwe anatosha.
Hana hata kadi ya simba nnachokumbuka mlimpatia mpaka kadi ya uanachama huo mzigo ni wenuManara ni wa kwenu bhana! Aliajiriwa Yanga na GSM, baada ya kulalamika mshahara mbuzi wa laki 7!
Ila kimsingi yule jamaa ni ndugu yenu kabisa wa damu. Na siku si nyingi atarejea kwenye klabu yenu. Sisi Yanga hatuna shida naye tena. Tulimchukua kwa muda tu, ili kuwakera! na kwa sasa hana tena nafasi kwenye klabu yetu. Ali Kamwe anatosha.
unajuaje kama hakuna mwanasimba aliyenituma? Jifunze kuzungumza kwa takwimu. Unapenda sana kuwazungumzia wengine kwanini? Nimekwambia kuwa usijumlishe madai na malalamiko. Mwambie mkeo kuwa chakula hiki "mimi" sikitaki badala ya kumwambia kuwa "chakula chako ni kibaya". Polepole nitakufundisha hadi utaelewa namna sahihi ya ku communicate. Usiichulie Simba kama taasisi yako binafsi.Wewe utopolo unataka kuwaamlia Simba au kuwasemea Simba Kuna mwanasimba yoyote amekutuma
Sasa we uto unaumia niniunajuaje kama hakuna mwanasimba aliyenituma? Jifunze kuzungumza kwa takwimu. Unapenda sana kuwazungumzia wengine kwanini? Nimekwambia kuwa usijumlishe madai na malalamiko. Mwambie mkeo kuwa chakula hiki "mimi" sikitaki badala ya kumwambia kuwa "chakula chako ni kibaya". Polepole nitakufundisha hadi utaelewa namna sahihi ya ku communicate. Usiichulie Simba kama taasisi yako binafsi.
off course!! wanahama waliokuwa mawaziri wakuu na wabunge kwenda chadema sembuse mimi? Hata wewe nakushauri ufanye hivyo, usiache ela wewe watoto waende chooni.Inaonekana na wewe upo yanga kimaslahi siku Simba wakikuahidi kitu unahamia Simba
Ela = Helaoff course!! wanahama waliokuwa mawaziri wakuu na wabunge kwenda chadema sembuse mimi? Hata wewe nakushauri ufanye hivyo, usiache ela wewe watoto waende chooni.
Kwa vijana wa siku hizi sishangai ndio maana mnashindana kusifia kusubiri tatizo Mimi nitabaki na msimamo wanguoff course!! wanahama waliokuwa mawaziri wakuu na wabunge kwenda chadema sembuse mimi? Hata wewe nakushauri ufanye hivyo, usiache ela wewe watoto waende chooni.
Sifa ya kwanza ya mwanaume ni kuwa na msimamo ukikosa msimamo tayari unapoteza sifa ya uanaumeoff course!! wanahama waliokuwa mawaziri wakuu na wabunge kwenda chadema sembuse mimi? Hata wewe nakushauri ufanye hivyo, usiache ela wewe watoto waende chooni.
Huyu jamaa usikute ndio Manara anapima upepoSasa we uto unaumia nini