Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Manara anataka Pesa,Simba Pesa ipo?Kwavyovyote vile Manara anavinasaba na Simba, aliipenda Simba, alihudumu Simba na ana kadi ya Simba. Sote tunafahamu alifikaje Yanga aliko sasa hivi.
Je, kuondoka kwa Barbara na MO Simba kunaweza kumrudisha Manara Simba? Kwanini arudi Simba na kwani aendelee kubaki Yanga?
kaka watoto watashiba maneno ya kishabiki tu? Kila kitu lazima uzingatie maslahi yako, la sivyo uzee utakukuta ukiwa kama mzee Mpili, Kilomoni, Akilimali na wengine ambao walizipenda sana simba na yanga hivihivi tuu. gutuka kaka kama nawewe uko kwenye njia hiyo. Wako watu wako tayari kuuza mechi ili kupata pesa, marefa wanapokea pesa, wadhamini wanapokea pesa, viongozi wanapokea pesa, tff wanapokea pesa, wauza maji, mavuvuzela, bia, karanga na jezi uwanjani wanapokea pesa kasoro wewe tu.Inaonekana na wewe upo yanga kimaslahi siku Simba wakikuahidi kitu unahamia Simba
maneno hayo ya mtaani wanayaita "maskini jeuri" wanao lazima wale, walale, watibiwe na wasome, watasomaje kwa kushabikia Yanga au Simba tu. Kazi na dawa bhana wee. Mpira ni furaha lakini hakuna furaha bila chakula.Sifa ya kwanza ya mwanaume ni kuwa na msimamo ukikosa msimamo tayari unapoteza sifa ya uanaume
Naogopa nikikwambia ukweli utaona kama nakutukana ila siwezi kupoteza utu wangu sababu ya pesa vidole havilingani na watu haturingani usilazimishe mtazamo wako ukawa wakaka watoto watashiba maneno ya kishabiki tu? Kila kitu lazima uzingatie maslahi yako, la sivyo uzee utakukuta ukiwa kama mzee Mpili, Kilomoni, Akilimali na wengine ambao walizipenda sana simba na yanga hivihivi tuu. gutuka kaka kama nawewe uko kwenye njia hiyo. Wako watu wako tayari kuuza mechi ili kupata pesa, marefa wanapokea pesa, wadhamini wanapokea pesa, viongozi wanapokea pesa, tff wanapokea pesa, wauza maji, mavuvuzela, bia, karanga na jezi uwanjani wanapokea pesa kasoro wewe tu.
maneno hayo ya mtaani wanayaita "maskini jeuri" wanao lazima wale, walale, watibiwe na wasome, watasomaje kwa kushabikia Yanga au Simba tu. Kazi na dawa bhana wee. Mpira ni furaha lakini hakuna furaha bila chakula. Kuna ushabiki na kuna kazi. hapa kazi ni kubwa na muhimu kuliko ushabiki, tusichanganye mambo. manara ni simba kwelikweli tangu utotoni, kule ni fedha tu, anaweza kuhama kwenda Azam pia kama kuna hela ya kutosha.
Wanaume tutaendelea kubaki wachachemaneno hayo ya mtaani wanayaita "maskini jeuri" wanao lazima wale, walale, watibiwe na wasome, watasomaje kwa kushabikia Yanga au Simba tu. Kazi na dawa bhana wee. Mpira ni furaha lakini hakuna furaha bila chakula.
Kule Amewekewa Mazingira Ya Sheria Ambazo Siyo Rahisi Kurudi Simba