Barbershop girls pose a new threat to marriage

Barbershop girls pose a new threat to marriage

Mbu huyu soulmate mpya unampenda sana eeee, kama unampenda mwachishe hiyo kazi kuna mabazazi ya kufa mtu, yanaweza yakambadili ukajutia tena nafsi, sipendi kukuona unasuffer tena kama kipindi kileeeeeeee

Bora Gaga umtahadharishe huyu kiumbe, akipokonywa huko asijerudi na kilio hapa, tissue za kumfuta machozi hatuna!!

Hapo red hapo panahusu........natamani ningemwona enzi hizo
 
Yes, this is a new threat for marriages. kwa kweli kama umeoa na unaipenda ndoa yako jiepushe na hizi barber shop, bora ununue scrubs and massage lotion mkeo awe anakufanyia home if you so like it. Na nyie kina mama/dada, jifunzeni hii service muwe mkiitoa kwa waume zenu huko home, bila hivyo kwa kweli only time can tell.

Unaweza ukayanunua yakaozea ndani>
 
Mie siku hizi nakaa pembeni mwa Tanzania, hivi karibuni nilingia mjini huko Dar, nimejionea mwenyewe hali ilivyo tete katika hizo barber shops. Yaliyosemwa hapa nakubaliana nayo. Laiti kama siyo u-solid wangu nilikuwa matatani. Namshukuru Mungu nilitoka salama salimin. Majaribu mengine ni makubwa kiasi cha kushindwa kuvumilia. Kama kaka una ndoa yako ni vyema ukajiandaa kisaikolojia unapokwenda kwenye hizo barber shops, ukiingia kichwa kichwa bila shaka utafanya ngono isiyotarajiwa. Hao akina dada wenyewe ni hatari, hebu tafakari ni wateja wangapi wanahudumiwa pale kwa siku, ni wangapi wanafanya nao ngono? Je wote hawa wanajali hasa ukizingatia hakuna maandalizi ya kufanya kitendo hicho? Bila shaka wengi hawajali na kama itafanyika research zaidi ya 60% watakuwa wameathirika. Chonde chonde ndugu usipoteze maisha yako kwa tamaa za muda mfupi zilizoamshwa bila matarajio.

Ni kweli kabisa ndugu yangu, This is something to keep in our Memory. We need to change.
 
Mnh? ...kitumbua changu mchanga msinitilie! Huyu wa sasa wala sifikirii atanitenda. Akinitenda hamtaniona tena jukwaa hili... Aibu!
 
Mkuu hii kitu bwana ni hatari sana,wale wadada wanajituma sana yani mambo taratiiiiibu halafu ukimsemesha anajifanya hajasikia anakusogelea karibu kwamacho legevu umwambie tena mmh!shetani ana sura nyingi sana jamani.

Kuna siku nilihudumiwa na dada mmoja yaani alikuwa na kajeans na katop kafupi na huko ndani kavaa vile vichu..... vyao ni vikamba flani tu vinaonekana juu kidogo huku makalioni mmh! sasa hayo macho na hiyo mikono inavyotumiwa,na hawa bwana wanajua udhaifu uko wapi wakifika hapo wanang'ang'ania.Kazi kwa kweli ipo.

Kuna mchangiaji kawaasa kina dada/mama wawafanyie wapenzi wao hii kazi wasiende salon ila ukweli ni kwamba hawa wa nyumbani wanalipua kazi wakati mwingine au wana concentrate na majukumu mengine zaidi.

Angalizo:A real man has a limit and control of himself,vinginevo kwa dunia ya sasa hakuna mwanamke mbaya kila mtu utataka kumfunua.
 
Hili jambo ni zito sana na inabidi tulijadili vizuri,

huwa naenda sana huko kufanyiwa madowido na huwa naskia raaaaaa maana ni watundu, ila kama u ar strong man and u love ur spouse hayo yote yataishia hapohapo saloon,

wanasaidia kutupunguzia stress na frustration maana ukitoka huko unajiskia raaa japo wanachukua hela nyingi kweli lol.

USHAURI tuache kabsaa kwenda huko au ukishanyolewa chapa lapa usitake kuoshwa...
 
MTM...hapa umeongea kaka yangu...kusema ukweli tunakoelekea itakuwa hata wanawake wanaoendesha magari na vimini mapaja wazi tutaimba kuwa ni threat kwa ndoa zetu. Mimi nafikiri ni muhimu tukaziangalia nasi namna tunavyoziendesha na kuzihadle ndoa zetu. Kama mtu ukiwa na mumeo ndani mnapetiana petiana, mara moja moja mnascrubiana na kupeana massage kwa mpangilio maalumu ........hivi kweli ataona nini cha ajabu akienda scrubiwa na hao vinyozi??

I think there is a need of evaluating and renewing and updating the art of loving within our marriages......hii mambo ya kuwa tunaoana, tunapata familia, tunatafuta maisha.......thats enough......... tuyaache. mara moja moja tujipendelee (kama tulivyo shauriwa na Mbu) tuzipe uhai ndoa zetu! Ama sivyo duh tutatishiwa mpaka na wanyama wasovaa nguo

Mwj1,...nilikuwa nafikiria nianzishe thread; Nini Malengo yako kwenye Ndoa. Lakini kwa jinsi ulivyoielezea hapa, nadhani utaeleweka zaidi.

Ndimi Mwanafunzi wako Mtiifu.
Amen.
 
kwa kweli hizi Barbershop ni wizi mtupuu sio kwa kina dada tu( maana hawa ni wezi wa waume na wachumba za watu) hata kwa kina kaka mabraza men wanaofanya kazi ya kunyoa nywele, maana week end hii nilienda pale Victoria kwenye kona ya kwenda mwenge kuna saloon pale niliingia kunyoa na kufanya srub, baada ya kumaliza kila kitu yule dada akanimbia vipi jamaa kakwambia bei nikamuuliza yuko wapi nimlipe? yuledada "akasema ametoka" nikamuuliza shilingi ngapi? akaniambia elfu kumi na mbili, nikamuuliza yaani nimenyoa upara na kufanya scrub ndio bei yote hiyo? akasema ndio nikampa ile pesa nikaoondoka.
huu ni wizi katika ma sallon na nimesema sitarudi tena katika saloon ile tena.
Mkuu hapo lazima ulifanyiwa massage ya kichwa au alikupaka dawa ya mmba elfu 5, kunyoa max elfu 3, scrub max elfu 3 au labda ulipaka black/magic.
 
Mwj1,...nilikuwa nafikiria nianzishe thread; Nini Malengo yako kwenye Ndoa. Lakini kwa jinsi ulivyoielezea hapa, nadhani utaeleweka zaidi.

Ndimi Mwanafunzi wako Mtiifu.
Amen.

Mbu kusema ukweli ninasikitika sana pale ambapo tunashindwa kujifanyia wenyewe SWOT na SWOC na badala yake tunakimbilia kublame expternal factors phwee......Mie wangu atatoka kwa kuwa tu anajisikia kutoka (hulka yake) lakini asitegemee kuwa atatoka na kupata justification ya kutoka kwake.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
The thing is massage is professional... Mke atajifunza wapi, saa ngapi...
aah! Mke unajifunza kabisa. Ngoja nitafute centre nikajifunze kabla cjaolewa. Shaving na after shaving services nitamfanyia mwenyewe. Kumbe ndio zao. Lol.
 
Mume wangu yeye akishakata nywele anachapa lapa. Yuko tayari alipie hiyo service bila kuitumia kwani salon nyingine wanalazimisha ulipe full package. Anachofanya anakunguta nywele kuoga nyumbaniiii. Kwanza mnazeesha hizo ngozi zenu na facial scrubs massage ya low quality products tena unakuta ni weekly, shauri zenu. Ndio maana unakuta siku hizi wanume sura kama wanawake na wengine chunusi juu. Mnapenda mapowder eeh

Hili jambo ni zito sana na inabidi tulijadili vizuri,

huwa naenda sana huko kufanyiwa madowido na huwa naskia raaaaaa maana ni watundu, ila kama u ar strong man and u love ur spouse hayo yote yataishia hapohapo saloon,

wanasaidia kutupunguzia stress na frustration maana ukitoka huko unajiskia raaa japo wanachukua hela nyingi kweli lol.

USHAURI tuache kabsaa kwenda huko au ukishanyolewa chapa lapa usitake kuoshwa...
 
Mbu kusema ukweli ninasikitika sana pale ambapo tunashindwa kujifanyia wenyewe SWOT na SWOC na badala yake tunakimbilia kublame expternal factors phwee......Mie wangu atatoka kwa kuwa tu anajisikia kutoka (hulka yake) lakini asitegemee kuwa atatoka na kupata justification ya kutoka kwake.

...natamani ku comment, lakini acha watoto wakalale kwanza...


Mume wangu yeye akishakata nywele anachapa lapa. Yuko tayari alipie hiyo service bila kuitumia kwani salon nyingine wanalazimisha ulipe full package. Anachofanya anakunguta nywele kuoga nyumbaniiii. Kwanza mnazeesha hizo ngozi zenu na facial scrubs massage ya low quality products tena unakuta ni weekly, shauri zenu. Ndio maana unakuta siku hizi wanume sura kama wanawake na wengine chunusi juu. Mnapenda mapowder eeh

LOL,....NK bana!...
 
Mmewasahau na wale wanaotoa huduma ya massage tu.,kuna kitu inaitwa "full body massage" ni noma maana lazima uchojoe na kufungwa taulo tu, halafu huyo binti anayetoa hiyo huduma sasa nae ili awe comfortable lazima avae kimtego.,hapo ukitaka chochote zaidi ya massage ni wewe tu.
 
Yes, this is a new threat for marriages. kwa kweli kama umeoa na unaipenda ndoa yako jiepushe na hizi barber shop, bora ununue scrubs and massage lotion mkeo awe anakufanyia home if you so like it. Na nyie kina mama/dada, jifunzeni hii service muwe mkiitoa kwa waume zenu huko home, bila hivyo kwa kweli only time can tell.

Umesema kweli ila umesahau kuwakumbusha wamama wafanyeje badala yakwenda kusafishwa miguu na kutengenezwa kucha na wanaume.
 
First, it was war with bar maids, Housewives once lived in eternal fear of the habitually half-dressed young ladies at the services of their thirsty husbands in bars found almost everywhere in Dar es salaam. But now, the bat field has shifted has shifted to barbershops and hair salons.

I think everyone knows what is the Barbershop, Many man and their wives would confess that the first that crosses their mind when talking about hair salons is not only the hair cut, but almost full hour of scrubbing, massaging and grooming by young attractive women.

And you may find the Barbershops business seems like stiff competition, owners doing whatever necessary to attract and retain their clients. A barbershop with no aftershave services, such as scrubbing and facial massaging, is doomed no matter how cheap it is. Mostly of the clients are men and its not relaxing for a man to massage or scrub another man, girls are more desirable and suitable because they often wearing heavy perfume and dressed I mini skirt, tight jeans and tops, and all sorts of inviting stuffs, (about their commissions I don’t know???), but they look so smart you cant differentiate with others women’s who works at financial institution, international institution and so far……..

We know these girls when they do their services they can’t avoid touching their Clients gently, when they want scrub and facial massaging and that is what they do, if their client they ask for other extra services, it is an option, the service sometimes go beyond extra barbershop services, sometimes the clients asks to meet the girls after working hours. “Sometimes the girls paid extra money under the pretence of appreciation of the service…

During this service it takes a real strong man to not feel something when the girls scrubbing them, Any man can be attempted to start an affair, especially if it becomes a routine to be scrubbed and massaged by the same girl every time ( if you are a man, imagine the soft hand of a young woman on your head and then the neck and face, cleaning your ears) and this repeated by the same girl at least once every week. There are very high chances of relationship can become more personal if the man is not strong enough”

Conclusion: Many barbershop have been turned into commercial sex zones, men’s are not dealing with Barmaid, and this is the threat for many marriage.
I beg to differ Sir,
Since the annotations are gender prejudiced! Let me put to your awareness that there are also feminine salon operated my male attendants mainly Congolese, but I haven’t ever heard of any complaints resulting on this state of condition!
However it is of my understanding that, if male or female goes to service (Barber/Salon) providers for other than hair dressings it is not due to the outlook or kneading expertise of the attendants except that it is habits of the client him/herself.
Instead of being apprehensive, let wives and husbands learn how to gently massage their spouse in house in order to avoid desirous might arise by being touched while on barbershops and salons.
I plead to submit.
 
Mh... sis'

Yani kila kinachompa mwanaume comfort sasa si kitakua threat to marriage?? to me a threat to any marriage is the marriage itself!
..Sure man you have it all.............!!
 
Vipi wamasai wanaowasuka wake, dada zetu huku dada wakikaa chini wakati huo mmasai akiwa amesimamia! Uchunguzi unaonyesha wamasai wa kiume wengi huwa hawavai nguo za ndani! Kwa hiyo unakuta mwanamke anapata flava ya kingómbe ngómbe mpaka amalize kusukwa!

Kweli kaka. Vipi wale wanaopaka kucha rangi? Yaani mwanamke anamwachia mguu kijana anauchezea anavyotaka.
 
na wewe sasa tutawaimini vipi hao wakala wa kizaire? kama unaweza kumfanyia masaji bf wako si usimzindikize saluni? halafu he is just a boyfriend sio mume wako we are talking about marriage here. bf anaweza kamata yeyote yule na wewe pia yeyote anweza kukukamata

Niliwahi kumsindikiza by then bf wangu saluni moja iko karibia na Estana..Haya kanyolewa vizuri halafu akaitwa kwenye chumba aoshwe, huyo dada aliyekuwa akimuosha kwakweli nahisi alikuwa na lake jambo..kangán'gania masikio na kujiingiza katikati ya miguu! Unajua nini nikamwambia yule bf hebu amka twende nikakufanyie hiyo massage mimi mana naona hapo mnapandishana mihemko tu...dada alishtuka na kumnawisha chap tukaondoka!..
Siku hizi simsindikizi mtu kunyoa, mie pia naenda saluni zetu kwa manicure&pedicure pia massage mana wakaka wa kizaire ni wataalamu sana!
 
money money money, mshiko mshiko mshiko, they are after aining some money and they want more money! wala si kwa wanawake wa babashopu tu ziko sehemu nyingi; kuna wahudumu wa gest, wahudumu wa bar, hata kwenye stand za mabasi/daladala, ndani ya mabasi/daladala, hotelini, migahawani. Kwenye gest unaweza ukaingia na mwanamke lakini bado muhudumu akakutamani na ukitongoza anakubali mi nilishachukua muhudumu wa gest na mpaka sasa ni mpenzi wangu, kabla ya hapo nilikuwa natumia gesti hiyo na mwanamke mwingine. Pia katika babashopu moja nilifanyiwa masaji siku moja na binti mmoja wakati tuko chumbani nikamuomba namba ya simu akanipa akaniambia siku ambayo yuko off nikamtwangia na alikuwa tayari kuja ila ni kayeyusha, baada ya hapo yule binti akatokea kunichukia na nikienda tena kunyoa nafanyiwa na wengine. Hivyo kila sehemu saizi wasichana wamekaa kimitego saana, popote utakapo gusa ok unakula mzigo. na ukiamua kuwa malaya unawakanyaga kweli mpaka wanakugombania. Kwa level yangu mi naamini nikimtaka msichana yeyote nampata wala si issue, mradi mpunga upo tu.
 
Back
Top Bottom