Barbershop girls pose a new threat to marriage

Barbershop girls pose a new threat to marriage

WoS.. nimepata wazo.. inabidi upatiwe kajukwaa kakutoa elimu hii ya maisha (life skills) maana nadhani hapa kuna wengi tunaweza kufaidika katika weledi wako. Kumbe ndio maana unaitwa "wa Substance".. halafu ulikuwaga na ile signature yako moja hivi ya mwanzoni.. naikumbuka kumbuka hivi..

MM hivi huko kijijini kuna hizi Scrub sijui facial, steamer au bado mnanyolea wembe
 
Mzee halafu sijui kwanini mtu ukimaliza kunyoa ukawaambia sifanyi hizo scrub wala usinioshe nitaenda nyumbani kuoga wanakuwa wanakasirika kweli huwa sielewi ni kwanini
Lengo lao linakuwa halijatimia. Fikiria hivi:
Kwenye mabaa kwanini barmaids wako aggressive sana? Ni kwa vile hawalipwi mishahara au kama wanalipwa ni hela ndogo mno.Nyingine inabidi wajitafutie.

Most of the barber shops nako kila kiti kina "bei yake kwa siku".Wale vijana wanaonyoa hutakiwa kulipia hivyo viti kama vile wamekodisha.Naamini wale wasichana nao wanatakiwa wachacharike kuingiza kipato.
 
Lengo lao linakuwa halijatimia. Fikiria hivi:
Kwenye mabaa kwanini barmaids wako aggressive sana? Ni kwa vile hawalipwi mishahara au kama wanalipwa ni hela ndogo mno.Nyingine inabidi wajitafutie.

Most of the barber shops nako kila kiti kina "bei yake kwa siku".Wale vijana wanaonyoa hutakiwa kulipia hivyo viti kama vile wamekodisha.Naamini wale wasichana nao wanatakiwa wachacharike kuingiza kipato.

You are right WOS sababu kuna kinyozi mmoja aliniambia per week inabidi wapeleke laki moja kwa kiti kimoja whether umeme upo au haupo na isipofika inakuwa ni deni ambalo tajiri yako anakuwa anakudai na ndio hawa wasichana kama ulivyosema wanachakarika watakuuliza kila kitu hadi utaulizwa kama unaosha miguu, nilikuwa nikijiuliza kwanini kwenye sbarbershops hawaweki kibao kinachoonyesha bei wanakutajia bei kwa mdomo baadae nilikuja kugundua ni kwanini
 
Ngoja niwahi huko sasa hivi nikaprove kabisa hii hali then nitarudi kutoa ushuhuda
 
You are right WOS sababu kuna kinyozi mmoja aliniambia per week inabidi wapeleke laki moja kwa kiti kimoja whether umeme upo au haupo na isipofika inakuwa ni deni ambalo tajiri yako anakuwa anakudai na ndio hawa wasichana kama ulivyosema wanachakarika watakuuliza kila kitu hadi utaulizwa kama unaosha miguu, nilikuwa nikijiuliza kwanini kwenye sbarbershops hawaweki kibao kinachoonyesha bei wanakutajia bei kwa mdomo baadae nilikuja kugundua ni kwanini

hawaweki bei kwa sababu bei inategemea muonekano wako.
 
How about femini hair dressing salons where hair dressers, massagers are handsome men? A,nt they also a threat to our marriages?

wakiwa wakiume wahudumu pia mama watoto wako akienda ni pbm
waosha kucha wanashika shika nyayo na masaj kwa sana miguun ..KWA WADHAIFU INAWEZA IKALA KWAKE
 
hawaweki bei kwa sababu bei inategemea muonekano wako.

Hicho ni moja ya kitu nilichokugundua pia kama siyo mjanja utapewa bei za ajabu sana, utashangaa baada ya kumaliza kunyoa nywele na kuosha unaambiwa 5000
 
Yes, this is a new threat for marriages. kwa kweli kama umeoa na unaipenda ndoa yako jiepushe na hizi barber shop, bora ununue scrubs and massage lotion mkeo awe anakufanyia home if you so like it. Na nyie kina mama/dada, jifunzeni hii service muwe mkiitoa kwa waume zenu huko home, bila hivyo kwa kweli only time can tell.


The thing is massage is professional... Mke atajifunza wapi, saa ngapi...
 
haa hi kitu ni balaa, maana Kuna siku baada ya kunyolewa nikaambiwa niende kuoshwa kichwa pamoja na uso, huyo dada aliyekuwa anafanya hii kazi haki ya Mungu alikuwa keshanitia kishawishini, maana ananiosha uso na sehemu ya masikio alafu akawa anaingiza vidole vyake masikioni kwa makusudi kabisa, kufika kwenye kidevu ndio alikaa kama dakika kazaa akikiosha tu huku ananiangalia kwa macho malegevu kabisa, alikuwa kavaa kasuruali kepesi basi akawa anasogelea goti langu na kuliweka katikati ya miguu yake na huku kama anajisuguasugua,
nilikuwa mpole nasubiri ushahidi tu
Wakina mama (Mlioolewa) kweli mna kazi (Bar Maid, House Maid, Networking friendz, and now Berbershop Ladies)

Mkuu hapo ulichomoka?
 
Yes, this is a new threat for marriages. kwa kweli kama umeoa na unaipenda ndoa yako jiepushe na hizi barber shop, bora ununue scrubs and massage lotion mkeo awe anakufanyia home if you so like it. Na nyie kina mama/dada, jifunzeni hii service muwe mkiitoa kwa waume zenu huko home, bila hivyo kwa kweli only time can tell.


Do bahati mbaya huu ushauri utafeli maana kama ilivyo bia ya nyumbani hainogi the same applies kwa wanaotaka hizo huduma
 
duh.. mimi barber wangu ni mwanamke for years.. kumbe nimepitwa!

Ha ha ha lakini anakugusagusa lakini? Vile vimasaje ana vifacial inakuwaje? Kwa kweli mkuu kwetu sisi bwana si rahisi kuvumilia mikono ya mwanamke hata kidogo. Hata wagumu hapa nakataa kabisa, wacha moto huo MM. Hapo uzalendo utanishinda kabisa, so I opt not to consume certain services katika hizi Barber Shops, only kunyoa full stop.
 
haa hi kitu ni balaa, maana Kuna siku baada ya kunyolewa nikaambiwa niende kuoshwa kichwa pamoja na uso, huyo dada aliyekuwa anafanya hii kazi haki ya Mungu alikuwa keshanitia kishawishini, maana ananiosha uso na sehemu ya masikio alafu akawa anaingiza vidole vyake masikioni kwa makusudi kabisa, kufika kwenye kidevu ndio alikaa kama dakika kazaa akikiosha tu huku ananiangalia kwa macho malegevu kabisa, alikuwa kavaa kasuruali kepesi basi akawa anasogelea goti langu na kuliweka katikati ya miguu yake na huku kama anajisuguasugua,
nilikuwa mpole nasubiri ushahidi tu
Wakina mama (Mlioolewa) kweli mna kazi (Bar Maid, House Maid, Networking friendz, and now Berbershop Ladies)

same has happened to me
 
Yes, this is a new threat for marriages. kwa kweli kama umeoa na unaipenda ndoa yako jiepushe na hizi barber shop, bora ununue scrubs and massage lotion mkeo awe anakufanyia home if you so like it. Na nyie kina mama/dada, jifunzeni hii service muwe mkiitoa kwa waume zenu huko home, bila hivyo kwa kweli only time can tell.
Dada yangu huo muda wanao wanawake wa siku hizi, baijing iliharibu kila kitu acha wanaume wakapewe huduma!!!!
 
Ndio maana mimi nimeamua sitaki tabu hizo,najiendea zangu kwenye "Hair Cutting Salon" bei chee kabisa huku uswahilini ni 500 tu kunyoa na wala sitaki kujishaua kwenye hizo mnazoita "Barber Shops"
 
wakiwa wakiume wahudumu pia mama watoto wako akienda ni pbm
waosha kucha wanashika shika nyayo na masaj kwa sana miguun ..KWA WADHAIFU INAWEZA IKALA KWAKE

Yaani ulivyosema hivyo nimemkumbuka member mmoja humu alilalamika kwa thread yake kuwa mke wake anaenda saloon hizo za fahari kwa wiki mara nne(kwa hela zake mwanamke mwenyewe maana jamaa alikiri mke ana elimu na pesa kuliko yeye mme), Jpili ndio anashinda kabisa huko wala hana mpango na watoto(familia). Hii habari inanifanya nipate mashaka makubwa na nimhurumie sana kumbe hatari si kwetu wanaume tu bali hata wake zetu wanafinyangwa huko kwenye masaloon!!
 
I appreciate your input. It is really tempting and I am also one of the victims. We should get rid of it, but the question then is how?
 
Mimi nilishawishika mpaka nikaomba namba yake ya simu. Cha kushangaza, alichukua simu yangu mfukoni na ku-type namba yake haraka sana. Baada ya hapo tukaanza kuwasiliana mpaka nikambanjua. Tatizo lililonikumba ni baada ya kushiba imeniwia vigumu kumwacha. Hivi sasa nimeminya kimya mpaka kubadili namba za simu zangu ili tusiwasiliane vizuri. Na bahati nzuri mimi nimehamia mkoa mwingine. Jamani wanaume tuache mambo haya, yanaumiza sana kichwa na kupoteza amani kwa starehe ya dakika chache tu.
 
Hivi huwa wanalipwa mshahara au ni bahati na uchangamfu wao kwa wateja? Lakini pia kuna wanaume wengine Kama vile wamekuwa addicted na hiyo huduma. Hasa kukiwa na ligi za uingereza basi wanapata hiyo huduma huku wanatazama mechi.
 
Back
Top Bottom