MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Mbu huyu soulmate mpya unampenda sana eeee, kama unampenda mwachishe hiyo kazi kuna mabazazi ya kufa mtu, yanaweza yakambadili ukajutia tena nafsi, sipendi kukuona unasuffer tena kama kipindi kileeeeeeee
Yes, this is a new threat for marriages. kwa kweli kama umeoa na unaipenda ndoa yako jiepushe na hizi barber shop, bora ununue scrubs and massage lotion mkeo awe anakufanyia home if you so like it. Na nyie kina mama/dada, jifunzeni hii service muwe mkiitoa kwa waume zenu huko home, bila hivyo kwa kweli only time can tell.
Mie siku hizi nakaa pembeni mwa Tanzania, hivi karibuni nilingia mjini huko Dar, nimejionea mwenyewe hali ilivyo tete katika hizo barber shops. Yaliyosemwa hapa nakubaliana nayo. Laiti kama siyo u-solid wangu nilikuwa matatani. Namshukuru Mungu nilitoka salama salimin. Majaribu mengine ni makubwa kiasi cha kushindwa kuvumilia. Kama kaka una ndoa yako ni vyema ukajiandaa kisaikolojia unapokwenda kwenye hizo barber shops, ukiingia kichwa kichwa bila shaka utafanya ngono isiyotarajiwa. Hao akina dada wenyewe ni hatari, hebu tafakari ni wateja wangapi wanahudumiwa pale kwa siku, ni wangapi wanafanya nao ngono? Je wote hawa wanajali hasa ukizingatia hakuna maandalizi ya kufanya kitendo hicho? Bila shaka wengi hawajali na kama itafanyika research zaidi ya 60% watakuwa wameathirika. Chonde chonde ndugu usipoteze maisha yako kwa tamaa za muda mfupi zilizoamshwa bila matarajio.
MTM...hapa umeongea kaka yangu...kusema ukweli tunakoelekea itakuwa hata wanawake wanaoendesha magari na vimini mapaja wazi tutaimba kuwa ni threat kwa ndoa zetu. Mimi nafikiri ni muhimu tukaziangalia nasi namna tunavyoziendesha na kuzihadle ndoa zetu. Kama mtu ukiwa na mumeo ndani mnapetiana petiana, mara moja moja mnascrubiana na kupeana massage kwa mpangilio maalumu ........hivi kweli ataona nini cha ajabu akienda scrubiwa na hao vinyozi??
I think there is a need of evaluating and renewing and updating the art of loving within our marriages......hii mambo ya kuwa tunaoana, tunapata familia, tunatafuta maisha.......thats enough......... tuyaache. mara moja moja tujipendelee (kama tulivyo shauriwa na Mbu) tuzipe uhai ndoa zetu! Ama sivyo duh tutatishiwa mpaka na wanyama wasovaa nguo
Mkuu hapo lazima ulifanyiwa massage ya kichwa au alikupaka dawa ya mmba elfu 5, kunyoa max elfu 3, scrub max elfu 3 au labda ulipaka black/magic.kwa kweli hizi Barbershop ni wizi mtupuu sio kwa kina dada tu( maana hawa ni wezi wa waume na wachumba za watu) hata kwa kina kaka mabraza men wanaofanya kazi ya kunyoa nywele, maana week end hii nilienda pale Victoria kwenye kona ya kwenda mwenge kuna saloon pale niliingia kunyoa na kufanya srub, baada ya kumaliza kila kitu yule dada akanimbia vipi jamaa kakwambia bei nikamuuliza yuko wapi nimlipe? yuledada "akasema ametoka" nikamuuliza shilingi ngapi? akaniambia elfu kumi na mbili, nikamuuliza yaani nimenyoa upara na kufanya scrub ndio bei yote hiyo? akasema ndio nikampa ile pesa nikaoondoka.
huu ni wizi katika ma sallon na nimesema sitarudi tena katika saloon ile tena.
Mwj1,...nilikuwa nafikiria nianzishe thread; Nini Malengo yako kwenye Ndoa. Lakini kwa jinsi ulivyoielezea hapa, nadhani utaeleweka zaidi.
Ndimi Mwanafunzi wako Mtiifu.
Amen.
aah! Mke unajifunza kabisa. Ngoja nitafute centre nikajifunze kabla cjaolewa. Shaving na after shaving services nitamfanyia mwenyewe. Kumbe ndio zao. Lol.The thing is massage is professional... Mke atajifunza wapi, saa ngapi...
Hili jambo ni zito sana na inabidi tulijadili vizuri,
huwa naenda sana huko kufanyiwa madowido na huwa naskia raaaaaa maana ni watundu, ila kama u ar strong man and u love ur spouse hayo yote yataishia hapohapo saloon,
wanasaidia kutupunguzia stress na frustration maana ukitoka huko unajiskia raaa japo wanachukua hela nyingi kweli lol.
USHAURI tuache kabsaa kwenda huko au ukishanyolewa chapa lapa usitake kuoshwa...
Mbu kusema ukweli ninasikitika sana pale ambapo tunashindwa kujifanyia wenyewe SWOT na SWOC na badala yake tunakimbilia kublame expternal factors phwee......Mie wangu atatoka kwa kuwa tu anajisikia kutoka (hulka yake) lakini asitegemee kuwa atatoka na kupata justification ya kutoka kwake.
Mume wangu yeye akishakata nywele anachapa lapa. Yuko tayari alipie hiyo service bila kuitumia kwani salon nyingine wanalazimisha ulipe full package. Anachofanya anakunguta nywele kuoga nyumbaniiii. Kwanza mnazeesha hizo ngozi zenu na facial scrubs massage ya low quality products tena unakuta ni weekly, shauri zenu. Ndio maana unakuta siku hizi wanume sura kama wanawake na wengine chunusi juu. Mnapenda mapowder eeh
Yes, this is a new threat for marriages. kwa kweli kama umeoa na unaipenda ndoa yako jiepushe na hizi barber shop, bora ununue scrubs and massage lotion mkeo awe anakufanyia home if you so like it. Na nyie kina mama/dada, jifunzeni hii service muwe mkiitoa kwa waume zenu huko home, bila hivyo kwa kweli only time can tell.
I beg to differ Sir,First, it was war with bar maids, Housewives once lived in eternal fear of the habitually half-dressed young ladies at the services of their thirsty husbands in bars found almost everywhere in Dar es salaam. But now, the bat field has shifted has shifted to barbershops and hair salons.
I think everyone knows what is the Barbershop, Many man and their wives would confess that the first that crosses their mind when talking about hair salons is not only the hair cut, but almost full hour of scrubbing, massaging and grooming by young attractive women.
And you may find the Barbershops business seems like stiff competition, owners doing whatever necessary to attract and retain their clients. A barbershop with no aftershave services, such as scrubbing and facial massaging, is doomed no matter how cheap it is. Mostly of the clients are men and its not relaxing for a man to massage or scrub another man, girls are more desirable and suitable because they often wearing heavy perfume and dressed I mini skirt, tight jeans and tops, and all sorts of inviting stuffs, (about their commissions I dont know???), but they look so smart you cant differentiate with others womens who works at financial institution, international institution and so far ..
We know these girls when they do their services they cant avoid touching their Clients gently, when they want scrub and facial massaging and that is what they do, if their client they ask for other extra services, it is an option, the service sometimes go beyond extra barbershop services, sometimes the clients asks to meet the girls after working hours. Sometimes the girls paid extra money under the pretence of appreciation of the service
During this service it takes a real strong man to not feel something when the girls scrubbing them, Any man can be attempted to start an affair, especially if it becomes a routine to be scrubbed and massaged by the same girl every time ( if you are a man, imagine the soft hand of a young woman on your head and then the neck and face, cleaning your ears) and this repeated by the same girl at least once every week. There are very high chances of relationship can become more personal if the man is not strong enough
Conclusion: Many barbershop have been turned into commercial sex zones, mens are not dealing with Barmaid, and this is the threat for many marriage.
..Sure man you have it all.............!!Mh... sis'
Yani kila kinachompa mwanaume comfort sasa si kitakua threat to marriage?? to me a threat to any marriage is the marriage itself!
Vipi wamasai wanaowasuka wake, dada zetu huku dada wakikaa chini wakati huo mmasai akiwa amesimamia! Uchunguzi unaonyesha wamasai wa kiume wengi huwa hawavai nguo za ndani! Kwa hiyo unakuta mwanamke anapata flava ya kingómbe ngómbe mpaka amalize kusukwa!
Niliwahi kumsindikiza by then bf wangu saluni moja iko karibia na Estana..Haya kanyolewa vizuri halafu akaitwa kwenye chumba aoshwe, huyo dada aliyekuwa akimuosha kwakweli nahisi alikuwa na lake jambo..kangán'gania masikio na kujiingiza katikati ya miguu! Unajua nini nikamwambia yule bf hebu amka twende nikakufanyie hiyo massage mimi mana naona hapo mnapandishana mihemko tu...dada alishtuka na kumnawisha chap tukaondoka!..
Siku hizi simsindikizi mtu kunyoa, mie pia naenda saluni zetu kwa manicure&pedicure pia massage mana wakaka wa kizaire ni wataalamu sana!