Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Jamani rakitic muacheni
Mapafu ya mbwa Moyo wa plastic
Miguu ya chuma
Kocha alishawaambia kuna wachezaji inatakiwa wa suffer ili tushinda wakiwamo Rakitic,Basquets ,Iniesta ,Macherano na Neyma
 
penati ya suarez kajitupa kinafiki as usual na goli la sita litizame fresh ni offside mkuu

Kujidondosha kwa suarez ni moja ya mbinu katika mchezo na yeye si wa kwanza kufanya hivyo, wapo wengi wameshafanya hivyo. ila unasahau kwamba barca kanyimwa penalty mbili za halali.
Alafu pia goli la mwisho sio Offside, naomba wewe ndio cheki vizuri na kama unabisha sitoshindwa kukuletea video ( Thanks to Intel )
 
We noma jamaa.. Umetishaaaaaa
 
Dah......jamaa ni zaidi ya mtabiri aseeee 6 zlezleeeeee!
 
Kama mna dhani Celta vigo, na Sporting Gijon ziko sawa na PSG endeleeni.
Barcelona akipita nahamia Congo DRC
Iceman, ushakamilisha mchakato wa kuwepo Congo DR, hii ni wapi Kivu, Baraka, Lubumbashi ama wapi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji23][emoji23]
 
Wewe ni zaidi ya Mchawi, ha ha ha ha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…