Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Barcelona hii kwakweli hapana,
Hawawezi kutinga hatua ya robo final.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 

Enrique amepita mule mule nilimowaambieni hii sio coincidence mimi na Lous Enrique tufikirie kitu kimoj ni calculated
 


Barca iko ICU....PSG hii si ile ya zamani kaba ya wewe kuzaliwa. Barca ianze tu kujijenga kwa msimu ujao ila kwa leo wasahau tu.
 
View attachment 477876
Enrique amepita mule mule nilimowaambieni hii sio coincidence mimi na Lous Enrique tufikirie kitu kimoj ni calculated


Wewe ulitaka Enrique aseme nini ikiwa yeye ni kocha wa Barca? Subiri kipigo cha leo kisha uje utuambie kajiteteaje. Hayo maneno ni njia ya kujipa moyo tu ila anajuwa fika kuwa wamekwisha.
 
FUTURE IMPOSSIBLE TENSE
 
LEO NIKICHELEWA KUTIZAMA MPIRA KWA DAKIKA KUMI
NITAKUTA BARCELONA ANAONGOZA 3:0[emoji123]

VIVAAAAAAAAA
BARCELONAAAA
 
Hahaha nimekumbuka mechi ya Ngaya vs Yanga. Mnadhani PSG in Arsenal iliyopigwa goli 10 mechi mbili? Barca ikipita mods nipigeni ban ya mwaka.
 
Barca ni team kubwa so zote zilizopo chini yake ni team ndogo hadi Madrid pia ukiwemo [emoji123]
Sikatai, kushinda mtashinda ndio...
Tena mechi ya leo mtaibuka kwa ushindi wa magoli 5 - 1, ila na safari yenu ya michuano itaishia hapa hapa
ndiyo ujue Celta siyo timu ndogo, lakini jana tumeifunga 5 timu uliyotufunga nne na iliyowafurusha CDR. jtano utaona maajabu. nyie mkichomoka kwa Napoli nakununulia vocha ya 2,000. i have a hunch kwamba hamchomoki.

BAO 6 ZINAWAHUSU
 
Cjui nlitoka wap na hii tim
Ya arsenal bdo spart majibu
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…