Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Verrati, Meuner, Maquinhos, Kipempe, Matuidi, Cavani, Dimaria, Mota, Sergi, Rabiot, Pastore, Kurzawa, Silva
Duh hivi unatokaje hapa
 
Unaenda barca kushambulia ...unakosa tunajua umtiti kalaza na pique [HASHTAG]#dimaria[/HASHTAG]
 
Ile siku waliotea hao watu utakua hauwaoni Jumatano Macherano is back
UZI Haujakamilika mkuu...malizia Barcelona ikishindwa kuitoa PSG utameza zana ipi ya kilimo?????maana ushamaliza kumeza zana zote za kilimo kuanzia mundu visu hadi shoka kwa utabiri wako kwenda kombo. Haaaa haaa haaaaa
 
UZI Haujakamilika mkuu...malizia Barcelona ikishindwa kuitoa PSG utameza zana ipi ya kilimo?????maana ushamaliza kumeza zana zote za kilimo kuanzia mundu visu hadi shoka kwa utabiri wako kwenda kombo. Haaaa haaa haaaaa
Ha ha umekariri this is not a drill
 
Tatizo mnamgeuza emery uncle wenu nani atakaye mzuia Cavan asifunge PSG si timu ya kuunga unga draxler ,de maria nyuma yao matuidi dimba la kati verati rabiot hawatakagi ujinga PSG akifungwa mpira haujatendewa haki siongelei kutolewa hiyo haiwezekani ni kama kuota raisi atakufa
 
Ndoto hii ulioota ni mbaya sana kwa Barcelona umeshawazika kabla ya Mechi Bye Barcelona[emoji113][emoji113]
 
VIVA BARCELONA

HAKIKA TUTAWASAMBARATISHA KWA GOLI KUANZIA 6
Aisee kusema ni rahisi,lakini kivitendo ni ngumu sana.Hivi kweli goli 4-0 za mechi ya kwanza ina maana Barc.hawakucheza ila PSG ndio walicheza peke yao?PSG sio timu ndogo kama unavyodhani,hawana jinsi hii timu imetolewa tu hata wacheze vipi.
Mleta Uzi ndugu yangu Mwekundu hapa hakuna jinsi,fainali Cardiff wataisikia tu baada ya mechi ya kesho around SAA 4-6 usiku.
MNALETA MASIHARA NYIE,AFUNGWE PSG ZAIDI YA GOLI 4 WATAKUWA WAMEFUNGWA KAMBA MIGUUNI?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kuelekea match ya marudiano Camp Nou tarehe 08-03-17 ,pasipo na wingu la shaka Barcalona team kubwa kabisa duniani wanachokifanya wanakijua watashinda goal 6 kwenye ule uwanja ambao haulali na ngozi .
Dunia siku hiyo itatingishika Messi ataibuka na Hatrick ,Suarez atafunga goal mbili na Neyma atatupia moja na ku make MSN as usual
Team kama Barcelona hauhitaji calculations ngumu sana kupata hizo idadi za magoli 5 au 6 ili kuivukisha team stage nyingine ,hakuna option siku hiyo ni mbinu ya ushindi tu mazingira yameshaanza kutengenezwa kwa individual player na team kiujumla lengo kila mchezaji kuanzia kwenye midfielder Iniesta,Rakitic Ivan ,Basquets, Rafinha ,Arda Turan Dennis Suarez etc kwenye upande wa defence nani hatambui kama Braugrana ndio wenye defence inayofanya task ya ku defend na ku attack?Jordi Alba,Sergio Roberto,Macherano ,Umtiti (atakua fixed) ,Lucas Digne bila kumsahau handsome boy baba shakira
In short tayari maandalizi ya kisaikolojia na kimbinu yamesharekebishwa kama unabisha angalia performance yetu tangu turudi Paris
[HASHTAG]#IbelieveinBarca[/HASHTAG] together we can here we go....

NB Hili ndilo dimba Madrid alilala goal tano kwahiyo PSG kufungwa hakitakua kitu jipya
MSN kufunga sio tatizo shida ni muda gani tuta score goal zote 5 ndani ya dk 90
2a642f67799f8e7bdc75def3ec7781e6.jpg
Huu ushabiki unaoambatana na shine ya maharage na kacholi nahisi inakusumbua sana
 
Back
Top Bottom