Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Lionel Messi ataruhusiwa kuondoka Barcelona bila malipo yoyote msimu ujao , iwapo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 atapendelea kufanya hivyo kutokana na kifungu cha sheria katika kandarasi yake. (El Pais, via L'Equipe)
Messi ataruhusiwa kuzungumzia hatma yake na klabu yoyote kutoka Januari mosi.
Messi ataruhusiwa kuzungumzia hatma yake na klabu yoyote kutoka Januari mosi.