Barcelona na ndoto za mchana

Umeanza vizuuuri ila huki kibwagizo cha mwisho ndo umechafua.
 
Mtoa mada ana akili za kibashite.
 
Umeanza vizuuuri ila huki kibwagizo cha mwisho ndo umechafua.
Ha ha ha hiyo Signature au?

Ila nimesoma The mirror, The Sun, Goal.com, 90.com, nk yote ya UK jamaa kina eleweka this week.

JPM KAMATA WEZI
 
Daah, nimeipenda hii
 
Mkuu mbona povu niambie mataji waliyotwaa De Lima na Figo kwa nyakati zao tofauti walizokaa catalonia
 
Last season Neymar alikuwa chini ya kiwango..kafunga goli 12 kama kichuya(jokes)..jamaa alikuwa anaicost timu kama alivyopewa red card ya kijinga wakati kuna mechi ngumu..kasaulika Gaucho na Xavi..yeye ni nani
 
Baada ya neymar kuondoka mnasema uchezaji wake unaifanya timu kuwa dhaifu aah
 
Limeshazibwa na Duleufue Jana na hatuna mpango wa kusajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…