Kumekua na taarifa nyingi Mitandaoni juu ya hawa miamba wa Catalan juu ya kutaka kuziba nafasi ya genius wa Mpira Neymar Jr alietimkia PSG...
Hii ni ndoto ya mchana kweupe tena saa sita jua la utosi...
Wachezaji wanaotajwa kwenda kumrithi fundi huyu ni Coutinho, Ousmane Dembele, Dybala na hata Griezman....
Wote tajwa hapo juu hawataweza kuziba nafasi ya Jr
Pengo la mchezaji wa kariba yake halizibwi...
Waulize Spurs kuhusu Pengo la Bale, Man U na Ronaldo...
Hii ni ndoto ya mchana kweupe tena saa sita jua la utosi...
Wachezaji wanaotajwa kwenda kumrithi fundi huyu ni Coutinho, Ousmane Dembele, Dybala na hata Griezman....
Wote tajwa hapo juu hawataweza kuziba nafasi ya Jr
Pengo la mchezaji wa kariba yake halizibwi...
Waulize Spurs kuhusu Pengo la Bale, Man U na Ronaldo...