Barcelona tumeumizwa tena. Ukuta wetu ni mbovu!

Barcelona tumeumizwa tena. Ukuta wetu ni mbovu!

Mi naona kuna kama upangaji matokeo kwa Barca. Naangalia mechi ya mwaka jana mechi ya 1 walifungwa 3-0 na Sevilla. Halafu mechi ya pili wakashinda 6-0.

Sasa hata valencia kuna namna wamefanya wanamwacha ashinde mechi ya pili utashangaa Barca anashinda 5-0.kama hali hii itaendelea bora warudiahe utaratibu wa awali wa kuwa na fainali 1 tu bila marudiano.
 
Mi naona kuna kama upangaji matokeo kwa Barca.Naangalia mechi ya mwaka jana mechi ya 1 walifungwa 3-0 na Sevilla.Halafu mechi ya pili wakashinda 6-0.sasa hata valencia kuna namna wamefanya wanamwacha ashinde mechi ya pili utashangaa Barca anashinda 5-0.kama hali hii itaendelea bora warudiahe utaratibu wa awali wa kuwa na fainali 1 tu bila marudiano.
Valencia wamelitwaa kombe kwa msimu huu.Hakuna mechi nyingine tena Hadi msimu ujao.
 
Mi naona kuna kama upangaji matokeo kwa Barca.Naangalia mechi ya mwaka jana mechi ya 1 walifungwa 3-0 na Sevilla.Halafu mechi ya pili wakashinda 6-0.sasa hata valencia kuna namna wamefanya wanamwacha ashinde mechi ya pili utashangaa Barca anashinda 5-0.kama hali hii itaendelea bora warudiahe utaratibu wa awali wa kuwa na fainali 1 tu bila marudiano.
BANGI MBAYA
 
Mi naona kuna kama upangaji matokeo kwa Barca.Naangalia mechi ya mwaka jana mechi ya 1 walifungwa 3-0 na Sevilla.Halafu mechi ya pili wakashinda 6-0.sasa hata valencia kuna namna wamefanya wanamwacha ashinde mechi ya pili utashangaa Barca anashinda 5-0.kama hali hii itaendelea bora warudiahe utaratibu wa awali wa kuwa na fainali 1 tu bila marudiano.
Siku hizi Stone tangawizi zinalewesha maana sio kwa akili zako
 
Nyie wamatumbi nawadai goli tatu hapo camp nou, msidhani kuwa tulivyowafunga nne anfield ndio tumemalizana, nawataka next year nilipe deni hapo ndio urafiki urejee kama mwanzo.
 
Siku hizi Stone tangawizi zinalewesha maana sio kwa akili zako
Mkuu unajifanya unaakili wakati wewe popoma tu.sasa kama wewe unaakili kunizidi au usingetumia kilevi ungenielewesha kuliko kuniharass.Mwaka jana kuliko na fainali 2. Mwaka huu kumbe ni moja mjinga kama mimi nafaa kuelimishwa sio kunitukana.
 
BANGI MBAYA
Mkuu ungenielewesha tu nadhani ingekuwa powa zaidi kuliko kukimbilia bangi usiilaumu bangi, bangi haina shida watu ndo wana shida.
mwaka jana niliangalia fainali 2. Mwaka huu sikuangalia.Kuelimishana ni vema sana maana haya mambo ya mpira yanajaa maoni zaidi, hivyo mtu akikosea ni kumwelimisha.
 
mkuu unajifanya unaakili wakati wewe popoma tu.sasa kama wewe unaakili kunizidi au usingetumia kilevi ungenielewesha kuliko kuniharass.Mwaka jana kuliko na fainali 2.mwaka huu kumbe ni moja mjinga kama mimi nafaa kuelimishwa sio kunitukana.
Haya mikedean nimekusoma fainali mbili zinapigwa Spain super Cup utazishuhudia team ni hizo hizo.
 
Mkuu ungenielewesha tu nadhani ingekuwa powa zaidi kuliko kukimbilia bangi usiilaumu bangi,bangi haina shida watu ndo wana shida.
mwaka jana niliangalia fainali 2.mwaka huu sikuangalia.Kuelimishana ni vema sana maana haya mambo ya mpira yanajaa maoni zaidi,hivyo mtu akikosea ni kumwelimisha.
Sawa nimekusoma
 
Nkiangalia ukuta wa barca sioni mchezaji hata mmoja anaeweza kwenda Madrid akapata namba. Mafanikio ya mess yamesababisha uongozi ujisahau katika kuimarisha kikosi upande wa ukuta,imefikia sehm mpaka mchezaji anaetumia mguu mmoja tu lenglet amekua ndo bekwa kutegemea wa kati, kiungo Sergio Roberto eti ndo beki wa kutegemea wa kulia. Barca amekua akipigwa sana counter attack. Hata usajil wa sasa hv wanahangaika na grezman wakat wana tatizo kubwa kwenye ukuta. Barcelona ya sasa hv kuja kutisha tena labda arudi pep aanze kuisuka tena.
Umeongea point bro
 
Back
Top Bottom