Barcelona tumeumizwa tena. Ukuta wetu ni mbovu!

Barcelona tumeumizwa tena. Ukuta wetu ni mbovu!

Barcelona ina matatizo makubwa mawili

1) Wachezaji ambao ndio tegemezi wote umri umeenda hakuna mwenye miaka chini ya 32, alba, suarez, sergio, messi na pidue

2) Wachezaji wengine wenye umri unaoruhusu ni wachezaji wenye viwango vya kawaida sana yaan ukiwapeleka kwenye timu zngne kubwa za Ulaya hawawezi kupata namba-yaan vidal ambae bayern hawakuwa na mahitaji naye ndo kaja kuwa mtu muhimu sana siku ile Barca inacheza na liverpool, kuna madogo km Sergio Roberto ni mzuri lakini C wa saizi ya barcelona kwakweli.

Timu inahitaji beki wa kulia, beki wa kati ataemrithi piki na umtiti anastahili kurudi kwe nafasi yake huyu lenglet hana consistency, timu inahitaji viungo wapya wenye nguvu hata wawili maana pale kati cku hizi barca imepoteza kabisa umiliki. Mbele kule wasajili mshambuliaji maana suarez keshachoka afu dembele bado hajawa na msaada kwa timu anahitaji mda zaidi.

Lazima barcelona ibadilike maana timu kubwa karibu zote ulaya, msimu ujao zitarudi vizuri kwa jinsi zilivyojpanga kusajili
Liverpool na Man City wako vizuri bila shaka watarudi vizuri. Juventus watarudi vzuri, bayern wanasajili, madrid wanajpanga kusajili vizuri.

Kwakweli niliumia sana cku ile tunapigwa nne na Liverpool daah heri washabiki wa timu zngne washazoea maumivu aisee ila sie barcelona hatujazoea kabisa haya mambo dah mpenzi wangu amelia mpk basi.
 
Lenglet miguu mizito hawezi kukimbia
Timu imechoka mkuu, ule msimu wa mwsho wa enrique timu ilipigwa 4-0 na psg ugenini. round inayofuata ikapgwa 3-0 na juve ugenn, msimu uliofuata tukpigwa3-0 na roma ugenini na msimu huu tumechezea 4-0 ugenini kwa liverpool, hapa kuna tatizo kubwa sana.
 
Mkuu ubovu wa timu yako ulianza toka champion league ya mwaka Jana ulishinda nyumban na Roma na ulipoenda Italy ukapigwa 3 mtungi kwa hyo usjifanye hujazoea kpgo umepigwa Mara 2 tena goli Za haja tena vichapo Vya aibu kwakupinduliwa matokeo mkuu ushazoea sasa.

Barcelona ina matatizo makubwa mawili

1) Wachezaji ambao ndio tegemezi wote umri umeenda hakuna mwenye miaka chini ya 32, alba, suarez, sergio, messi na pidue

2) Wachezaji wengine wenye umri unaoruhusu ni wachezaji wenye viwango vya kawaida sana yaan ukiwapeleka kwenye timu zngne kubwa za ulaya hawawezi kupata namba-yaan vidal ambae bayern hawakuwa na mahitaji naye ndo kaja kuwa mtu muhimu sana siku ile barca inacheza na liverpool, kuna madogo km sergio roberto ni mzuri lakini c wa saizi ya barcelona kwakweli.

timu inahitaji beki wa kulia, beki wa kati ataemrithi piki na umtiti anastahili kurudi kwe nafasi yake huyu lenglet hana consistency, timu inahitaji viungo wapya wenye nguvu hata wawili maana pale kati cku hizi barca imepoteza kabisa umiliki. Mbele kule wasajili mshambuliaji maana suarez keshachoka afu dembele bado hajawa na msaada kwa timu anahitaji mda zaidi.

Lazima barcelona ibadilike maana timu kubwa karibu zote Ulaya, msimu ujao zitarudi vizuri kw jinsi zilivyojpanga kusajili
Liverpool na mancity wako vizuri bila shaka watarudi vizuri. Juventus watarud vzuri, bayern wanasajili, madrid wanajpanga kusajili vizuri.

kwakweli niliumia sana cku ile tunapigwa nne na liverpool daah heri washabiki wa timu zngne washazoea maumivu aisee ila sie barcelona hatujazoea kabisa haya mambo dah mpenz wangu amelia mpk basi.
 
Ninachojiuliza huwa benchi la ufundi na viongozi hawakai vikao kujadili mapungufu ya timu?

Timu imechoka mkuu, ule msimu wa mwsho wa enrique timu ilipigwa 4-0 na psg ugenini. round inayofuata ikapgwa 3-0 na juve ugenn, msimu uliofuata tukpigwa3-0 na roma ugenini na msimu huu tumechezea 4-0 ugenini kwa liverpool, hapa kuna tatizo kubwa sana.
 
Ni muda wenu wa maumivu sasa. Yaan Messi, Pique, Sergio, Suarez na Alba wakishatoka hao Barca itakuwa kama Getafe tu na huo ndio ukweli. Kila zama na kitabu chake.
 
Ni muda wenu wa maumivu sasa. Yaan Messi, Pique, Sergio, Suarez na Alba wakishatoka hao Barca itakuwa kama Getafe tu na huo ndio ukweli. Kila zama na kitabu chake.
Tutamchukua Mbappe na Neymar na wale madogo wa Ajax, wawili watatu. Moto chini!
 
Mkuu ubovu wa timu yako ulianza toka champion league ya mwaka Jana ulishinda nyumban na Roma na ulipoenda Italy ukapigwa 3 mtungi kwa hyo usjifanye hujazoea kpgo umepigwa Mara 2 tena goli Za haja tena vichapo Vya aibu kwakupinduliwa matokeo mkuu ushazoea sasa
Hahahaa aya banah but hatujazoea hizi habari sie.
 
Back
Top Bottom