Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Neema kajigonga kwenye goti la beti Square kajisukuma sio penalty zile ila basi matokeo tayari hakuna mapinduziZote ni halali na magoli ni halali. Ina maana Suarez na Neymar hawakuangushwa eneo la hatari? Kuwa mkweli
Nakuheshimu sikutegemea kama ungejivunjia heshima yako kwa Game moja hii! Hata ungekaa kimya ungeonesha pia ushabiki wako!! UEFA inaendelea sio timu zote ni PSG na sio Refa huyu ana Kibali cha kuchezesha mechi zote za Barcelona!Zote ni halali na magoli ni halali. Ina maana Suarez na Neymar hawakuangushwa eneo la hatari? Kuwa mkweli
Na kadi ya njano ya Suarez ya kujirusha unasemaje?Neema kajigonga kwenye goti la beti Square kajisukuma sio penalty zile ila basi matokeo tayari hakuna mapinduzi
Mkuu,kwani yule refarii ni Mhispania? Taratibu mkuu,acha wivu. EPL ni ligi ya rugby. Mmefungwa 10-2Nakuheshimu sikutegemea kama ungejivunjia heshima yako kwa Game moja hii! Hata ungekaa kimya ungeonesha pia ushabiki wako!! UEFA inaendelea sio timu zote ni PSG na sio Refa huyu ana Kibali cha kuchezesha mechi zote za Barcelona!
Tanzania mtu akiwa mwanasiasa basi atafanya kila kitu kisiasa!!! Sawa mmeshinda kwa mujibu wa Refa wenu!! Ligi kuu Uingereza itabaki kuwa Ligi ngumu hasa ubora wa Marefarii wake!!!
Ushabiki ni utumwaa unaweza hata danganya kisa ushabiki unaweza hata kubadilisha mambo kisa ushabiki
Leo nimekuelewa wewe ni mtu wa aina Gani japo kwa kifupi
HAKUNA PENALTY HATA MOJA YA HALALI KATI YA ZILE MBILI,TUSIONGEE KISHABIKI.
Sio lA kulalamikia.... kwanza izo 5mnts anakua anacheza barcelona peke ake....Laleni sasa mkue....Refa keshapokea chake mapemaaaa.!!!
Xtra Time 5+mins
Nakuheshimu sikutegemea kama ungejivunjia heshima yako kwa Game moja hii! Hata ungekaa kimya ungeonesha pia ushabiki wako!! UEFA inaendelea sio timu zote ni PSG na sio Refa huyu ana Kibali cha kuchezesha mechi zote za Barcelona!
Tanzania mtu akiwa mwanasiasa basi atafanya kila kitu kisiasa!!! Sawa mmeshinda kwa mujibu wa Refa wenu!! Ligi kuu Uingereza itabaki kuwa Ligi ngumu hasa ubora wa Marefarii wake!!!
Ushabiki ni utumwaa unaweza hata danganya kisa ushabiki unaweza hata kubadilisha mambo kisa ushabiki
Leo nimekuelewa wewe ni mtu wa aina Gani japo kwa kifupi
Siwezi Kuonea Wivu timu ambayo hainiingizii hata 100 wala Hamsini mbovuu......ila ukweli utabaki hata wewe unajua Kuwa hakukuwa na uhalali kwa baadhi ya Magori ni ubovu wa refarii.....Hilo unalijua ila umefunikwa na Ushabiki unavowapendelea timu fulani kisaikolojia unaharibu mbinu na uwezo wa Timu nyingine na hio sio mara ya kwanza kwa Barcelona!!!! Sometime weka ushabiki pembeni na Facts zitumikeMkuu,kwani yule refarii ni Mhispania? Taratibu mkuu,acha wivu. EPL ni ligi ya rugby. Mmefungwa 10-2
Danya unanuna buuure tu.....Nakuheshimu sikutegemea kama ungejivunjia heshima yako kwa Game moja hii! Hata ungekaa kimya ungeonesha pia ushabiki wako!! UEFA inaendelea sio timu zote ni PSG na sio Refa huyu ana Kibali cha kuchezesha mechi zote za Barcelona!
Tanzania mtu akiwa mwanasiasa basi atafanya kila kitu kisiasa!!! Sawa mmeshinda kwa mujibu wa Refa wenu!! Ligi kuu Uingereza itabaki kuwa Ligi ngumu hasa ubora wa Marefarii wake!!!
Ushabiki ni utumwaa unaweza hata danganya kisa ushabiki unaweza hata kubadilisha mambo kisa ushabiki
Leo nimekuelewa wewe ni mtu wa aina Gani japo kwa kifupi
Naona Kasha tuuu sioni Dawa au tunameza Kasha? Refarii ni mbovuuuu
Anika facts zako. Chambua kila goli na kosa lakeSiwezi Kuonea Wivu timu ambayo hainiingizii hata 100 wala Hamsini mbovuu......ila ukweli utabaki hata wewe unajua Kuwa hakukuwa na uhalali kwa baadhi ya Magori ni ubovu wa refarii.....Hilo unalijua ila umefunikwa na Ushabiki unavowapendelea timu fulani kisaikolojia unaharibu mbinu na uwezo wa Timu nyingine na hio sio mara ya kwanza kwa Barcelona!!!! Sometime weka ushabiki pembeni na Facts zitumike
Watu wakununua game hawa
Utawaweza co
Kwa zle penalty za uongo
Zote ni halali na magoli ni halali. Ina maana Suarez na Neymar hawakuangushwa eneo la hatari? Kuwa mkweli
We ongelea Chadema tu, mpira waachie wajuzi. Suarez na Neymar walijiangusha eneo la hatari, ni tofauti na kuangushwa!
Kuwa na gori 4 sio tatizo lakini mwanzo mmeshawaharibu kisaikolojia na hiyo mmemtumia Refa kufanya hayooo tunajua hata marefa wana timu zao na hupanga matokeo nae anataka kuandika historia yake lakini sio sahihi kuonesha wazi wazi! Sidhani kama Suarezi kweli aliangushwaa hebu jaribu kuangalia TenaDanya unanuna buuure tu.....
Hivi unagoli 4... una advantage ya goli la ugenini..... alafu dk ya 84.... unaruka ruka vp hadi watu wanapata goli tatu....
Achilia mbele kubebwa cjui kadi km unavyodai.... hauon ni usee psg wamefanya.....
Goli 5 ushndwe kuzilinda