Barcelona yaichanachana PSG, yaweka rekodi mpya Ulaya

Habari wakuu
Nawasifu Barca kwa kupita kwa kishindo ambacho hakuna aliyetarajia.
Ila naona PSG hawajalitendea haki soka kabisa japo barca nao wameonyesha ubora.
Wanamichezo mnalizungumziaje hili?
 
Sasa we utani na Arsenal
 
Sasa we utani na Arsenal
 
Anika facts zako. Chambua kila goli na kosa lake
Huwezi kukubali Facts kama Unajua mpira huhitaji ku discuss vitu hivyooo.....nitakuwa na poteza muda wangu kumuelewesha mtu anae aamini katendewa haki kumbe hamna! Imani yako imekuponya! Ila ukweli utabaki pale pale kesho taarifa zitaatoka tutaona

Tutasikia refaa kaomba msamaha......UEFA bado ipoo
 
HAKUNA PENALTY HATA MOJA YA HALALI KATI YA ZILE MBILI,TUSIONGEE KISHABIKI.

Si kosa lako. Inawezekana ni ushabiki ndo unakusumbua. Nna wacwac kama sio shabiki wa Madrid bac ni Man U au Chelsea. Just enjoy the moment ukitaka kupima penati halali na zisizo halali haohao PSG first half tu kuna handballs kama mbili za ndani ya D walocommit. Sasa unataka tuanze kuangalia kosa mojamoja utaweza? Ndo mana hata baada ya match hii hutosikia mwamuzi kafungiwa. Kajaribu kubalance match kadri awezavyo. Hajafanya kosa la ajabu, match nzima barca imetawala. PSG waliofungwa hawalalamiki, wewe huku povu kibao. VISCA EL BARCA![emoji173][emoji173][emoji173]. Enjoy the moment, enjoy the history written today.
 
Hivi aaanachaje kuhathirika kisaikolojia mtu aliyepigwa goli 4... hana hata away goal... afu uhathirike wewe unayeongeza.

Mistake ya psg ni kudefence saana kuliko kushambulia... na hii walifanya kwa kulinganisha uwezo wao na barca..
It means bao 4 haikuwa uwezo wao...

Then walipopata lile bao mooja wakajiamini kwamba wamewaongexea mzigo barca ambao hawatauweza kuurudisha.... waksjisahau wakapigwa bao tatu ndan ya dk kumi


Ofcourse kwenye mpira makosa yapo . Referee sio nabii... ila ukisema eti kila akinawa mtu au kila kisa ndan ya box ufunike.... vuta picha now kungekuwa na penalty ngap .... ungekuwa mpira wa miguu au kikapu...

Referee husoma sheria za mchezo... maxingira ya mchezo na jinsi ya kuuchezesha mchezo... sio kila unachokiona wewe ni kosa ukadhan ni kosa hadi kwa mchezechaji.....

Tukubaliane tu... mapungufu ndio.. ila na uzembe upo mkubwa sana kwa PSG
 
Neema kajigonga kwenye goti la beti Square kajisukuma sio penalty zile ila basi matokeo tayari hakuna mapinduzi
Mkuu neymar tayar yuko mbele na mpira uko mbele yake...that aliyeanguka ameenda kusababisha foul kwa mtu ambae anaenda ku score...Sasa nngeomba utoe ufafanuz...hii penalty inakuaje c halal
 
Hyo inayo iita n lig ngum kipind cha furgie mlilalamika anabebwa sana....so n kawaida ya wanadam kulalamika
 
Zile penalty mbili zote hakuna penalty halali ila matokeo yalikuwa ni 4-1
Tatizo la wabongo kila shabiki naye ni refariii!! Mnataka kuwafanya kama hao watu waliosomea na wakaguzi wao wote ni fafaaa?!! Mbona huwa hatuoni wakifungiwa mala kwa mala kama mnavyokuwa mnatuaminisha?? Hao psg ni wajinga huwezi ukacheza na timu kama barca kwa. Kutegemea kujihami vile lazima utaachia tu!!! Na humo humo lazima penalty zipatikane tu kila dk yuko kiunoni kwako unategemea nini??
 
Sio lA kulalamikia.... kwanza izo 5mnts anakua anacheza barcelona peke ake....
Kutokujiamini.... hata psg zinamuhusu izo dk za nyongeza
Mpira ulicmama sana.... Wale jamaa wakienda kurusha, wanaenda kwa nyodo...mpira ukitoka kwa upande wa kipa wao jamaa anachukua almost 30 to 1min kuucheza...Lucas maulana kaumia kakaa karibu dk.2...so Wali delay sana...hata hizo dk 5 n ndogo..ingekua Epl wangeongeza hata dk.7.. Refer game ya arsenal na waltfod kama ckosei
 
Ww ndie ungetwambia n goal zp ambazo c halal
 
Mkuu psg na wao wameshika mpira Mara 3 ndan ya eneo la hatar
 
Povu huyo refa kwani ni walaliga? Maelezo mengi pumba tupu. Haya nyie wenye marefa na ligi ngumu jana mmenywesha kumi
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…