Wewe ndio mgumu wa kuelewa kweli, "jobs at risk" unadhani walimaanisha nini au ndo unajipa moyo..!!??Tatizo ni lugha au ni uvivu wa kusoma? Kwa maelezo kutoka website ya Barclays na wewe mtoa mada umeweka screenshot ni kwamba branches zinamaamishwa na kupelekwa sehemu zinapohitajika zaidi, wafanyakazi wataamishiwa kwenye hizo branches mpya.
Acha kupotosha watu...
Bongo vipi
Kenya uchumi unayumba ukizingatia migomo inaongezeka ya kazi. Kutoka kwa manesi nasasa wakufunzi wa vyuo wanagoma wakiitaji pesa. Nikama serikali ya Jubilee imeshindwa kuendesha nchi. Na sasa tunaona international banks zinafunga branch zao kwa wingi. Je NASA ndosuluhisho??View attachment 535136View attachment 535138 View attachment 535139
Ndo najiulizaBongo umesha sikia mgomo?? Au international bank kufunga branch??
Ati uchumi wa Kenya unayumbayumba? Ha! You wish. Uchumi wa Kenya unakuwa kwa asilimia 6% kwa mwaka, unayumbayumba wapi?
Tangu ujifunze kutake screenshots hivi majuzi, umekuwa ukitumia huo uwezo visivyo!
Habari ndio hii...
Barclays set to exit African business
Walipeni basi pesa kama mpo vizuriView attachment 535170
Migomo hufanyika kila mahali, haimanishi nchi iko taabani kiuchumi. Hawa wanaogoma wanapigania maslahi yao tu.Bongo umesha sikia mgomo?? Au international bank kufunga branch??
amekulupukaaaMtowa mada karopokaaaaa
Movie yenu ya vichwa vya treni vibovu imefikia wapi, naskia TRL wamevikana ilhali vina rangi zao.Walipeni basi pesa kama mpo vizuriView attachment 535170
Hii ni vituko, yaani locomotive zima linafika na hawajui nani mmiliki?Movie yenu ya vichwa vya treni vibovu imefikia wapi, naskia TRL wamevikana ilhali vina rangi zao.
Hiyo nchi yenu kama bongo movie vile, yaani vichwa vya treni hadi vinashushwa kutoka kwa meli na haijulikani mmliki nani. Ndio maana mnaliwa kwenye madini hadi mumebaki mahandaki matupu na umaskini mwingi. Mnaishi kwa kiki na vioja kila siku...mkae na kujiuliza aliyewaroga kama bado yupo.
hahahaaa...pengine wamebadilisha rangi ya manjano,samawati na kijani....Movie yenu ya vichwa vya treni vibovu imefikia wapi, naskia TRL wamevikana ilhali vina rangi zao.
Hiyo nchi yenu kama bongo movie vile, yaani vichwa vya treni hadi vinashushwa kutoka kwa meli na haijulikani mmliki nani. Ndio maana mnaliwa kwenye madini hadi mumebaki mahandaki matupu na umaskini mwingi. Mnaishi kwa kiki na vioja kila siku...mkae na kujiuliza aliyewaroga kama bado yupo.