Kenya uchumi unayumba ukizingatia migomo inaongezeka ya kazi. Kutoka kwa manesi nasasa wakufunzi wa vyuo wanagoma wakiitaji pesa. Nikama serikali ya Jubilee imeshindwa kuendesha nchi. Na sasa tunaona international banks zinafunga branch zao kwa wingi. Je NASA ndosuluhisho??