Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
wana kana mzigo wao sio?Movie yenu ya vichwa vya treni vibovu imefikia wapi, naskia TRL wamevikana ilhali vina rangi zao.
Hiyo nchi yenu kama bongo movie vile, yaani vichwa vya treni hadi vinashushwa kutoka kwa meli na haijulikani mmliki nani. Ndio maana mnaliwa kwenye madini hadi mumebaki mahandaki matupu na umaskini mwingi. Mnaishi kwa kiki na vioja kila siku...mkae na kujiuliza aliyewaroga kama bado yupo.
![]()
hii ni hatari!!!