Barclays is closing down 7 branches and Standard Chartered two branches are closed in Kenya.

wana kana mzigo wao sio?
hii ni hatari!!!
 
Hii ni vituko, yaani locomotive zima linafika na hawajui nani mmiliki?

Halafu sio moja, sio mbili, sio tatu...ni kumi na moja... freaking eleven ugly locomotives, zinashukia bandarini na zote zimepakwa rangi na majina ya shirika la reli (TRL) halafu eti hawajui za nani, hadi meli inageuka bila kujua nani kaziagiza. Bandarini TPA wanasema za TRL, nao hao TRL wamezikana, yaani Wabongo wanaishi maisha ya kiujanjanja na kutafuta kiki kwa kila kitu.

Na ndio maana unaona gesi zao zinatulipukia, wakiambiwa wazipitize Mombasa wananuna na kulialia. Mashirika yao yote ya kuhakikisha ubora kama vile TBS yamelala usingizi wa pono.
 
Hii balaa Kenya inakufa kifo cha mende. Adui mwombee njaa. Kwikwikwikwi. Kiburi mpaka kitawatoka, Njaa haina boss.
 
Hahaha nimeona clip ya magu akilalamikia huo ushenzzz
 

You are kidding! I thot they were three....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…