SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Laana inawatafuna jeshi la Polisi wanaanza kupasuana wenyewe. Ewe Mwenyezi Mungu tuamulie huu ugomvi kati yetu na jeshi la Polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaitwa "MBWA KALA MWANAE"Timoth Philipo, askari polisi wilayani Busega amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Simiyu baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na gari lililokuwa likiendeshwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda.
Taarifa iliyotolewa na kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Shadrack Masija leo Jumatano Oktoba 5, 2022 inaeleza kuwa ajali hiyo ilitokea Oktoba 2, 2022 eneo la Mizani Nyakabindi ikimhusisha Chatanda na Philipo.
"Toyota Harrier ilikuwa ikiendeshwa na ACP Chatanda iligongwa na Toyota Mark II ikitokea Bariadi kwenda Lamadi ikiendeshwa na Philipo na kusababisha majeraha kwa madereva wote wawili pamoja na H. 7123 Pc Emmanuel ambaye ni msaidizi wa Chatanda," amesema.
Amebainisha kuwa majeruhi wote walifikishwa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Simiyu kwa ajili ya matibabu na kubainisha kuwa chanzo cha ajali ni uzembe wa Philipo ambaye alihama upande na kwenda upande wa kulia na kisha kuligonga gari liliokuwa likiendeshwa na Chatanda.
Amesema Philipo alifariki dunia Oktoba 3, 2022 akiwa anapatiwa matibabu ikielezwa kuwa sukari ilishuka.
Katika taarifa hiyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limetoa pole kwa ndugu na familia ya marehemu na taratibu za mazishi zinafanyika kwa kushirikiana na familia na mwili utasafirishwa kwenda Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya mazishi.
Chanzo: Mwananchi
Chatanda, ila Bwana ameshampumzisha.Watuambie chanzo cha ajali na ni nani alikuwa mzembe. Ajali za kugongana mara nyingi mmoja wa madereva kafanya uzembe wa kutofuata sheria. Sasa nani alifanya hivi kati ya hawa wawili, maana wao wanajua kulima watu fine -- ooh ume-overtake kwenye solid line. Sasa nani kasababisha hii ajali hapa ikiwa wote wawili wanapaswa kuwa vinara wa kufuata sheria?
Mkuu huyo askari alikua kalewa sana maana pia walimpima kiwango cha ulevi kilikua juu, yeye ndo mwenye makosa alihama njia na kifata gari la RPC japo rpc alipata tuu michubuko kdgo akatibiwa na kuruhusiwa wala sio kwamba kasingiziwa.Sas huko lamadi kunaa magari gani had wagongane uso kwa uso
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Labda alikuwa anapiga saluti huku akiendesha gari. Huyu RPC achunguzwe, labda anadai saluti hata askari wakiewa wanaendesha gariChatanda, ila Bwana ameshampumzisha.
Huyu askari ni tofauti na yule aliefariki kwa ajali juzi hapo hapo lakini ni askari wa Maswa na atazikwa Kisesa Magu?Timoth Philipo, askari polisi wilayani Busega amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Simiyu baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na gari lililokuwa likiendeshwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda.
Taarifa iliyotolewa na kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Shadrack Masija leo Jumatano Oktoba 5, 2022 inaeleza kuwa ajali hiyo ilitokea Oktoba 2, 2022 eneo la Mizani Nyakabindi ikimhusisha Chatanda na Philipo.
"Toyota Harrier ilikuwa ikiendeshwa na ACP Chatanda iligongwa na Toyota Mark II ikitokea Bariadi kwenda Lamadi ikiendeshwa na Philipo na kusababisha majeraha kwa madereva wote wawili pamoja na H. 7123 Pc Emmanuel ambaye ni msaidizi wa Chatanda," amesema.
Amebainisha kuwa majeruhi wote walifikishwa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Simiyu kwa ajili ya matibabu na kubainisha kuwa chanzo cha ajali ni uzembe wa Philipo ambaye alihama upande na kwenda upande wa kulia na kisha kuligonga gari liliokuwa likiendeshwa na Chatanda.
Amesema Philipo alifariki dunia Oktoba 3, 2022 akiwa anapatiwa matibabu ikielezwa kuwa sukari ilishuka.
Katika taarifa hiyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limetoa pole kwa ndugu na familia ya marehemu na taratibu za mazishi zinafanyika kwa kushirikiana na familia na mwili utasafirishwa kwenda Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya mazishi.
Chanzo: Mwananchi
Ndio huyu alieagwa Leo Maswa na wanasafirisha mwili kwenda kuzika Kisesa Magu?Mkuu huyo askari alikua kalewa sana maana pia walimpima kiwango cha ulevi kilikua juu, yeye ndo mwenye makosa alihama njia na kifata gari la RPC japo rpc alipata tuu michubuko kdgo akatibiwa na kuruhusiwa wala sio kwamba kasingiziwa.
Kama ni huyo inasemekana alikuwa chapombe kutokana na stress za kuzinguana na mkewe na mpaka anafariki mkewe hawakuwa pamoja yaani mke Hana hata mawasiliano na ukweni na hapajui so ikawa wanatafuta ufumbuzi wapi akazikwe maana hawapajui na mke hapajui...Ila kusema sukari ilishuka[emoji848][emoji848] kua alikua hali chakula au alikua na tatizo la sukari.
Na kashafarikiHapo lazima makosa aangushiwe mwenye cheo cha chini
Hapo kwenye sukar kushuka baada YA ajali wataalam naomba mnifahamisheTimoth Philipo, askari polisi wilayani Busega amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Simiyu baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na gari lililokuwa likiendeshwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda.
Taarifa iliyotolewa na kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Shadrack Masija leo Jumatano Oktoba 5, 2022 inaeleza kuwa ajali hiyo ilitokea Oktoba 2, 2022 eneo la Mizani Nyakabindi ikimhusisha Chatanda na Philipo.
"Toyota Harrier ilikuwa ikiendeshwa na ACP Chatanda iligongwa na Toyota Mark II ikitokea Bariadi kwenda Lamadi ikiendeshwa na Philipo na kusababisha majeraha kwa madereva wote wawili pamoja na H. 7123 Pc Emmanuel ambaye ni msaidizi wa Chatanda," amesema.
Amebainisha kuwa majeruhi wote walifikishwa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Simiyu kwa ajili ya matibabu na kubainisha kuwa chanzo cha ajali ni uzembe wa Philipo ambaye alihama upande na kwenda upande wa kulia na kisha kuligonga gari liliokuwa likiendeshwa na Chatanda.
Amesema Philipo alifariki dunia Oktoba 3, 2022 akiwa anapatiwa matibabu ikielezwa kuwa sukari ilishuka.
Katika taarifa hiyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limetoa pole kwa ndugu na familia ya marehemu na taratibu za mazishi zinafanyika kwa kushirikiana na familia na mwili utasafirishwa kwenda Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya mazishi.
Chanzo: Mwananchi