AmevutishwaHuyo wa cheo cha chini si amevuta
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmevutishwaHuyo wa cheo cha chini si amevuta
Ova
Mshtuko wa kumgonga Boss wake lazima afariki tu. RIP AfandeRip askari
Mbona imeelezwa hapo kwenye uzi. Umesoma vizuri au umekimbilia kuandika tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Watuambie chanzo cha ajali na ni nani alikuwa mzembe. Ajali za kugongana mara nyingi mmoja wa madereva kafanya uzembe wa kutofuata sheria. Sasa nani alifanya hivi kati ya hawa wawili, maana wao wanajua kulima watu fine -- ooh ume-overtake kwenye solid line. Sasa nani kasababisha hii ajali hapa ikiwa wote wawili wanapaswa kuwa vinara wa kufuata sheria?
Je maelewano ya huyo Askari na RPC huko kazini kwao yalikuaje kabla ya ajali!!? Isije kua walikua wana beef hata ya kuvhukuliana Wanawake!!??Mkuu huyo askari alikua kalewa sana maana pia walimpima kiwango cha ulevi kilikua juu, yeye ndo mwenye makosa alihama njia na kifata gari la RPC japo rpc alipata tuu michubuko kdgo akatibiwa na kuruhusiwa wala sio kwamba kasingiziwa.
Sasa Kama office hajui muajiriwa wake anatokea wapi na anaishi wapi,hicho kibarua Cha upolice kapewaje!!??Kama ni huyo inasemekana alikuwa chapombe kutokana na stress za kuzinguana na mkewe na mpaka anafariki mkewe hawakuwa pamoja yaani mke Hana hata mawasiliano na ukweni na hapajui so ikawa wanatafuta ufumbuzi wapi akazikwe maana hawapajui na mke hapajui...
Mungu atusaidie sana haya maisha ya kuishikisela kutana kimjini mjini
Isije kua kuna mmoja alikua anamchapia mwenzake mke wake!!??Nawaza sio kwamba huyu poti alikuwa amepanga kuondoka na mkubwa wake labda Kuna terms hawakuwa sawa
Msamehe tu, alichoandika hakijui na yeye.Sasa Kama office hajui muajiriwa wake anatokea wapi na anaishi wapi,hicho kibarua Cha upolice kapewaje!!??
Wazee wa chadema mpaka Leo Bado mna Imani za ajabuUshirikina kwenye ofisi za umma ni tatizo kubwa. Sasa hapo drones zimegongana. Mwenye kimbola kikali kabaki.
Inadaiwa ajali hadi kifo cha Timoth kuna utata,alikua na ugomvi na RPC.nipo kisesa ndugu wa Timoth wamekataa kupokea manītiTimoth Philipo, askari polisi wilayani Busega amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Simiyu baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na gari lililokuwa likiendeshwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda.
Taarifa iliyotolewa na kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Shadrack Masija leo Jumatano Oktoba 5, 2022 inaeleza kuwa ajali hiyo ilitokea Oktoba 2, 2022 eneo la Mizani Nyakabindi ikimhusisha Chatanda na Philipo.
"Toyota Harrier ilikuwa ikiendeshwa na ACP Chatanda iligongwa na Toyota Mark II ikitokea Bariadi kwenda Lamadi ikiendeshwa na Philipo na kusababisha majeraha kwa madereva wote wawili pamoja na H. 7123 Pc Emmanuel ambaye ni msaidizi wa Chatanda," amesema.
Amebainisha kuwa majeruhi wote walifikishwa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Simiyu kwa ajili ya matibabu na kubainisha kuwa chanzo cha ajali ni uzembe wa Philipo ambaye alihama upande na kwenda upande wa kulia na kisha kuligonga gari liliokuwa likiendeshwa na Chatanda.
Amesema Philipo alifariki dunia Oktoba 3, 2022 akiwa anapatiwa matibabu ikielezwa kuwa sukari ilishuka.
Katika taarifa hiyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limetoa pole kwa ndugu na familia ya marehemu na taratibu za mazishi zinafanyika kwa kushirikiana na familia na mwili utasafirishwa kwenda Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya mazishi.
Chanzo: Mwananchi
Nami nimesikia hiliAmevutishwa
Kuhama na kuingia upande wa pili sio chanzo cha ajali. Jaribu kuwa deeper.Mbona imeelezwa hapo kwenye uzi. Umesoma vizuri au umekimbilia kuandika tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]