Barick kazini, hili la kuwawekea watu wa karibu na Rais wasisafiri kwenda Marekani ni kuficha ukweli wa biashara zao Makinikia yatakuwa undervalued

Barick kazini, hili la kuwawekea watu wa karibu na Rais wasisafiri kwenda Marekani ni kuficha ukweli wa biashara zao Makinikia yatakuwa undervalued

Wakati huo wewe na mashoga wenzio mnahamia huko mkauze VIZURI au mnaendelea kuwa ndani ya mipaka yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
2244444_tapatalk_1567662891357.jpeg.jpg

Thithiem na mashoga dhao
 
Unajua ushindi wa Tanzania kwenye makinikia ni aibu na fedhea kwa ulimwengu wa magharibi.
Nilisema sehemu hawa mabeberu lazima watafute namna ya kutoa statement nchi nyingine yoyote ya Afrika isijarinu kuiga hiki alichofanya Magufuli.
FaizaFoxy Mzaramo sijui Mkwere msomi alirudia mara kadhaa kukumbusha kisa cha Nyerere na mabeberu walivyokuja kulipa kisasi miaka kadhaa baadae.
Ni kweli, wanatisha ili wengine wasije kuiga, huu upepo ukiambukiza nchi zingine Kuna nchi za ulaya zitakuwa masikini kuliko sisi
 
Tatizo hajui lugha ya kiingereza kwa hiyo anaona aibu kwenda huko duniani.
Alipoenda Zimbabwe tu akawa ni kichekesho cha mwaka ati yeye ni Cataristi wakati huku nyumbani yeye ni kiongozi wa malaika na hapohapo yeye ni jiwe hahahaaa!!
Ati anatamani malaika wake waishukie mitandao ya jamii
Hatujawahi kupata kiongozi anayelitia aibu taifa kama huyu wa awamu ya Tano.

Limbukeni kiingereza ni kama lugha yoyote unafikiri Rais wa China au Urusi unafikiri wanaongea kiingereza wanapofanya Ziara ulaya au Marekani?....na hapo ulipo hata kutunga sentensi moja ya kiingereza sahihi huwezi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Limbukeni kiingereza ni kama lugha yoyote unafikiri Rais wa China au Urusi unafikiri wanaongea kiingereza wanapofanya Ziara ulaya au Marekani?....na hapo ulipo hata kutunga sentensi moja ya kiingereza sahihi huwezi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bora hao Phd zao ni original sio ya huyu alipoulizwa na Ben Saanane tu kuhusu uhalali ghafla akatumwa Bashite ampoteze
 
Back
Top Bottom