Barick kazini, hili la kuwawekea watu wa karibu na Rais wasisafiri kwenda Marekani ni kuficha ukweli wa biashara zao Makinikia yatakuwa undervalued

Ni kweli, wanatisha ili wengine wasije kuiga, huu upepo ukiambukiza nchi zingine Kuna nchi za ulaya zitakuwa masikini kuliko sisi
 

Limbukeni kiingereza ni kama lugha yoyote unafikiri Rais wa China au Urusi unafikiri wanaongea kiingereza wanapofanya Ziara ulaya au Marekani?....na hapo ulipo hata kutunga sentensi moja ya kiingereza sahihi huwezi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bora hao Phd zao ni original sio ya huyu alipoulizwa na Ben Saanane tu kuhusu uhalali ghafla akatumwa Bashite ampoteze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…