Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Wengi walikimbia😅😅😅Hapa mwakavuta ile baridi ni balaa.
Nilipangiwa hapo form v nikapakimbia lile baridi siyo powa
Inafika Negative -50c?Unaijua kitulo huko ni zaidi ya urusi
Tukuyu hakuna baridi mkuu huko wanakosema ndio shirika la ugawaji baridi lilipo...Hujafika tukuyu wewe
tafiti zinaonyesha ni rahisi na ni nafuu kupambana na baridi kuliko joto,joto linasababisha mpaka stress likikubali,wakazi wa dar wanajua.Hakuna Raha yoyote ya kukaa sehemu ya baridi,last year nilienda mbeya msimu wa baridi na sikulala wala kuenjoy,baridi inaumiza na inataka ukae ndani tu. Ina limit sana movement hata Bata nilishindwa kula.
Baridi inatesa sana,maji unayaona kama acid,hata kunywa Maji unajiona mzito.
Weeee baridi jamani hapana..joto Bora utaoga utafua utawasha feni ila baridi unataman usifanye chochote ukae tu kitandanjtafiti zinaonyesha ni rahisi na ni nafuu kupambana na baridi kuliko joto,joto linasababisha mpaka stress likikubali,wakazi wa dar wanajua.
Inategemea na pahala umefikia. Kama umefikia sehemu comfortable, chumba kizuri cha kisasa, madirisha ya vioo,kumepigwa ceiling nzuri. Ndani kuna umeme, TV nzuri kubwa ,kinga'muzi kilicholipiwa na External Hard drive yenye movie za kutosha,kitanda kina blanketi nzuri nzito za kukupa joto.Hakuna Raha yoyote ya kukaa sehemu ya baridi,last year nilienda mbeya msimu wa baridi na sikulala wala kuenjoy,baridi inaumiza na inataka ukae ndani tu. Ina limit sana movement hata Bata nilishindwa kula.
Baridi inatesa sana,maji unayaona kama acid,hata kunywa Maji unajiona mzito.
Joto kulimudu rahisi. Baridi bwana weeeetafiti zinaonyesha ni rahisi na ni nafuu kupambana na baridi kuliko joto,joto linasababisha mpaka stress likikubali,wakazi wa dar wanajua.
Kwakweli joto unaweza kulimudu baridi weeeeee hapana hutamani kufanya chochote kileJoto kulimudu rahisi. Baridi bwana weeee
Limonia ndo nini?Wakuu hii sio baridi,unaweza ukapata limonia ...kwa anayejipanga na safari ya njombe ajiaandae haswa!
bila kisahau papuchi yenye jotroooooInategemea na pahala umefikia. Kama umefikia sehemu comfortable, chumba kizuri cha kisasa, madirisha ya vioo,kumepigwa ceiling nzuri. Ndani kuna umeme, TV nzuri kubwa ,kinga'muzi kilicholipiwa na External Hard drive yenye movie za kutosha,kitanda kina blanketi nzuri nzito za kukupa joto.
Jikoni kuwe na chakula especially bites za kutosha kama biscuits, karanga, tambi, zabibu kavu, matunda mbali mbali, kahawa nzuri kama Nestle, maziwa, asali, tangawizi ya unga, heater ya maji, upate na internet hapo aaaaaah wewe hautataka kuondoka hilo eneo.
joto likikubali lile halina upepo wa kulipoza unahisi hewa nzito yani unahisi kufa kufaKwakweli joto unaweza kulimudu baridi weeeeee hapana hutamani kufanya chochote kile
Nimefika Mbeya baridi naisikilizia ni balaa.Hakuna Raha yoyote ya kukaa sehemu ya baridi,last year nilienda mbeya msimu wa baridi na sikulala wala kuenjoy,baridi inaumiza na inataka ukae ndani tu. Ina limit sana movement hata Bata nilishindwa kula.
Baridi inatesa sana,maji unayaona kama acid,hata kunywa Maji unajiona mzito.
Wewe ni introvertInategemea na pahala umefikia. Kama umefikia sehemu comfortable, chumba kizuri cha kisasa, madirisha ya vioo,kumepigwa ceiling nzuri. Ndani kuna umeme, TV nzuri kubwa ,kinga'muzi kilicholipiwa na External Hard drive yenye movie za kutosha,kitanda kina blanketi nzuri nzito za kukupa joto.
Jikoni kuwe na chakula especially bites za kutosha kama biscuits, karanga, tambi, zabibu kavu, matunda mbali mbali, kahawa nzuri kama Nestle, maziwa, asali, tangawizi ya unga, heater ya maji, upate na internet hapo aaaaaah wewe hautataka kuondoka hilo eneo.