Baridi la Makete

Baridi la Makete

Hakuna Raha yoyote ya kukaa sehemu ya baridi,last year nilienda mbeya msimu wa baridi na sikulala wala kuenjoy,baridi inaumiza na inataka ukae ndani tu. Ina limit sana movement hata Bata nilishindwa kula.

Baridi inatesa sana,maji unayaona kama acid,hata kunywa Maji unajiona mzito.
tafiti zinaonyesha ni rahisi na ni nafuu kupambana na baridi kuliko joto,joto linasababisha mpaka stress likikubali,wakazi wa dar wanajua.
 
Hakuna Raha yoyote ya kukaa sehemu ya baridi,last year nilienda mbeya msimu wa baridi na sikulala wala kuenjoy,baridi inaumiza na inataka ukae ndani tu. Ina limit sana movement hata Bata nilishindwa kula.

Baridi inatesa sana,maji unayaona kama acid,hata kunywa Maji unajiona mzito.
Inategemea na pahala umefikia. Kama umefikia sehemu comfortable, chumba kizuri cha kisasa, madirisha ya vioo,kumepigwa ceiling nzuri. Ndani kuna umeme, TV nzuri kubwa ,kinga'muzi kilicholipiwa na External Hard drive yenye movie za kutosha,kitanda kina blanketi nzuri nzito za kukupa joto.

Jikoni kuwe na chakula especially bites za kutosha kama biscuits, karanga, tambi, zabibu kavu, matunda mbali mbali, kahawa nzuri kama Nestle, maziwa, asali, tangawizi ya unga, heater ya maji, upate na internet hapo aaaaaah wewe hautataka kuondoka hilo eneo.
 
Inategemea na pahala umefikia. Kama umefikia sehemu comfortable, chumba kizuri cha kisasa, madirisha ya vioo,kumepigwa ceiling nzuri. Ndani kuna umeme, TV nzuri kubwa ,kinga'muzi kilicholipiwa na External Hard drive yenye movie za kutosha,kitanda kina blanketi nzuri nzito za kukupa joto.

Jikoni kuwe na chakula especially bites za kutosha kama biscuits, karanga, tambi, zabibu kavu, matunda mbali mbali, kahawa nzuri kama Nestle, maziwa, asali, tangawizi ya unga, heater ya maji, upate na internet hapo aaaaaah wewe hautataka kuondoka hilo eneo.
bila kisahau papuchi yenye jotrooooo
 
Hakuna Raha yoyote ya kukaa sehemu ya baridi,last year nilienda mbeya msimu wa baridi na sikulala wala kuenjoy,baridi inaumiza na inataka ukae ndani tu. Ina limit sana movement hata Bata nilishindwa kula.

Baridi inatesa sana,maji unayaona kama acid,hata kunywa Maji unajiona mzito.
Nimefika Mbeya baridi naisikilizia ni balaa.
Natamani nkatafute mwanachuo.....
 
Inategemea na pahala umefikia. Kama umefikia sehemu comfortable, chumba kizuri cha kisasa, madirisha ya vioo,kumepigwa ceiling nzuri. Ndani kuna umeme, TV nzuri kubwa ,kinga'muzi kilicholipiwa na External Hard drive yenye movie za kutosha,kitanda kina blanketi nzuri nzito za kukupa joto.

Jikoni kuwe na chakula especially bites za kutosha kama biscuits, karanga, tambi, zabibu kavu, matunda mbali mbali, kahawa nzuri kama Nestle, maziwa, asali, tangawizi ya unga, heater ya maji, upate na internet hapo aaaaaah wewe hautataka kuondoka hilo eneo.
Wewe ni introvert
 
Back
Top Bottom