Baridi la Makete

Napenda baridi sana sana!
Ehh Mwenye Enzi Mungu ilete hiyo baridi ya Makete Dar es Salama walahi![emoji2972]
 
Hata huku kwetu ikifika saa nane usiku kunakuwa na baridi kali sana mpaka huwa naamuka kuvaa suruali,sweta na kujifunika ndo nalala

Upweke shida/tabu sana
 
Wakinga jengeni kwenu muwe kama wachaga wenzenu mnavimbaaa huku mjini kwenu pa ki............e sana
 
Bila kuongeza demu kwenye list umebugi
 
tafiti zinaonyesha ni rahisi na ni nafuu kupambana na baridi kuliko joto,joto linasababisha mpaka stress likikubali,wakazi wa dar wanajua.
Facts

Joto kulikabili lina hitaji gharama ukiwa home utahitaji fan, ac au utulie kivulini chini ya mti ambapo napo hapo utakuwa unapata kaubaridi kwa mbali kasikokidhi mahitaji.

Ukiwa njiani unatembea unaweza pata hadi fangasi kutokana na jasho halafu ni mazingira rafiki kwa nagonjwa nyemelezi.

Sehemu yenye baridi hata umbu huwakuti lakini kwenye joto kila kitu kimejirahisisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…