TANZIA Bariega amefariki dunia

Nani kakuambia
Mbona arusha huko teleza sjui
Kawalqmba sana wake za watu hadi kuwafukunyua 712 zao
Wakaz hko wanabaki kulialia tu
Dar we iba kaba ila utakutana na kiama chako

Ova
Teleza anavizia na anatumia ndumba kuingia ndani ya nyumba ila hivyo vitoto (Panya road na wengineo) vinafanya uhalifu hadharani bila upinzani wowote! Midume mizima unakuta inakimbia misambwanda inatikisika kisa panya road! Bado nauliza DAR KUNA WANAUME KWELI!!!???
 
Duh wanaume wake Dar Kuna sehemu mnafeli. Boya Kama huyo LabdA wake watatu ndo waniweze. Huku kwetu hakyamungu hats umaarufu huo asingeupata. Angekufa mapema zaidi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Duh wanaume wake Dar Kuna sehemu mnafeli. Boya Kama huyo LabdA wake watatu ndo waniweze. Huku kwetu hakyamungu hats umaarufu huo asingeupata. Angekufa mapema zaidi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Duh wanaume wake Dar Kuna sehemu mnafeli. Boya Kama huyo LabdA wake watatu ndo waniweze. Huku kwetu hakyamungu hats umaarufu huo asingeupata. Angekufa mapema zaidi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Tatizo jamii inakuleana,watu wanaweza juwa fulani ni mhalifu
Wakamlea
Ila kuna maeneo mengine dar mwizi,kibaka akiingia hatoki salama
Watamfanya kitu mbaya
Kikubwa watu waache kuleana na kulindana

Ova
 
Sasa huzuni imetawalaje tena?
 
Tatizo jamii inakuleana,watu wanaweza juwa fulani ni mhalifu
Wakamlea
Ila kuna maeneo mengine dar mwizi,kibaka akiingia hatoki salama
Watamfanya kitu mbaya
Kikubwa watu waache kuleana na kulindana

Ova
Hao dawa yao kufa TU Tena hadharani bila ajizi.
Anaonewaje huruma aso huruma?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…